Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,335
- 24,232
Nenda kale kwa machinga Mkuranga na upate kuhara bure bure kwa kipindupindu.Mlioshiba mali za urithi kazi kusifia ujinga ujinga tu
Nilitaka kuweka lakini kameungua, nitajaribu tena. Na mimi naomba utuwekee kapicha ka mbalagha za kitimoto huku Dar tuzione.Tuwekee japo picha nasisi wa Mwakaleli tuone
😁"Mbalagha za kitumoto" ndio nini hizo mkuuNilitaka kuweka lakini kameungua, nitajaribu tena. Na mimi naomba utuwekee kapicha ka mbalagha za kitimoto huku Dar tuzione.
Bora mla Mali za urithi kuliko MLA za dhuluma.Nenda kale kwa machinga Mkuranga na upate kuhara bure bure kwa kipindupindu.
Ndo saizi yako, mjini hapawafai, hamtoshi.
... yule mshamba (konda boy) angeendesha misheni kishamba kutafuta sifa za kipumbavu; angezua vurugu halafu angesingizia wapinzani kushindwa kwake kisha angetumia risasi za moto kuumiza wananchi!Kweli Jiji la Dar lazima lazima lipewe mtoto wa mjini kuliendesha.
Kwa mtaji wa tamko la Rais Samia, Rc Amos Makalla amelisafisha Jiji la Dar tena bila vurugu sa kupigana virungu.
Kwa mtu anayejua kuongoza mass dwellings , ni lazima hatua ya kuindoa machinga imekuwa very well planned.
RC Makala nakupa pongezi kwa hilo.
Machinga lilikuwa janga la afyMachinga ilisababisha ajali barabarani
Machinga na vibanda ilikuwa maficho ya vibaka
Machinga hawalipi kodi.
Machinga waliziba mitaro ya usafi wa maji ya mvua.
Sasa Jiji la Dar linarudi kwenye ubora wake.
Hongera sana Amos.
Wameingi mjini toka vijijini hao.Mtaani watu wanatukana balaa.
Yaan kwenye jamii hakukosekani kina tomaso.huamini kwamba serikali ina nguvu bado.Kariakoo bado hapa ndo penyewe lazma vurugu zitokee.
Ngoja nishuke kwenye boat nikapaangalie kama amepaweza!Kweli Jiji la Dar lazima lazima lipewe mtoto wa mjini kuliendesha.
Kwa mtaji wa tamko la Rais Samia, Rc Amos Makalla amelisafisha Jiji la Dar tena bila vurugu sa kupigana virungu.
Kwa mtu anayejua kuongoza mass dwellings , ni lazima hatua ya kuindoa machinga imekuwa very well planned.
RC Makala nakupa pongezi kwa hilo.
Machinga lilikuwa janga la afyMachinga ilisababisha ajali barabarani
Machinga na vibanda ilikuwa maficho ya vibaka
Machinga hawalipi kodi.
Machinga waliziba mitaro ya usafi wa maji ya mvua.
Sasa Jiji la Dar linarudi kwenye ubora wake.
Hongera sana Amos.
Fanya vurugu tukupe virunguKariakoo bado hapa ndo penyewe lazma vurugu zitokee.