RC Chalamila atalirekebisha Jiji la DSM.

zandrano

JF-Expert Member
Jan 24, 2017
7,177
7,749
Kwanza nampongeza sana RC Chalamila kwa kuaminiwa na Mhe. Rais kukabidhiwa JIJI la DSM.

Hakika Dar ndio Tanzania.

Sina shaka na RC Chalamila kwa aina ya uongozi wake ataweza na atafanikiwa endapo tu atazingatia mambo yafuatayo;

1.Asikwepe lawama ilimradi tu anacho
kisimamia ni sahihi.
Hapa nasisitiza asijaribu kuacha kutimiza majukumu yake eti kwa kuwepa kulaumiwa....Hilo ni kosa kubwa.

2. Asisikilize sana majungu, wapiga majungu watampotoeha, ajiongeze

3. Wakuu wake wa Wilaya wanapaswa wachape kazi, waache kukaa ofisini, ahakikishe wanafuata nyayo zake.


4. Asiwe na muhali kuchukua hatua sahihi kwa mtu au taasisi yoyote inayo kiuka taratibu na Sheria.

Jiji la DSM linahitaji kufanyiwa mabadiliko makubwa ili liendane sambamba na dhana ya kuwa Jiji.

5. Lazima awe mbunifu, wananchi wanahitaji kuona ubunifu.

6. Awe mkali kwenye mambo ya msingi.
Ukali ni muhimu, maana wakati mwengine bila mjeledi wabongo hawaendi.

Tunamtakia kila la heri, sisi wananchi wapenda maendeleo tutamsaidia kwa mawazo.
 
Anaweza kuacha alama ya kudumu kwa ubunifu kama david mwaibula wa dartla ya kipindi hicho? Mwaibula ali frame root za daladala kuondoa kero za usafiri jijini dar. Tunataka kiongozi mbunifu kuondoa kero za wananchi na kuleta maendeleo sio porojo za kisiasa tu
 
Kwanza nampongeza sana RC Chalamila kwa kuaminiwa na Mhe. Rais kukabidhiwa JIJI la DSM.

Hakika Dar ndio Tanzania.

Sina shaka na RC Chalamila kwa aina ya uongozi wake ataweza na atafanikiwa endapo tu atazingatia mambo yafuatayo;

1.Asikwepe lawama ilimradi tu anacho
kisimamia ni sahihi.
Hapa nasisitiza asijaribu kuacha kutimiza majukumu yake eti kwa kuwepa kulaumiwa....Hilo ni kosa kubwa.

2. Asisikilize sana majungu, wapiga majungu watampotoeha, ajiongeze

3. Wakuu wake wa Wilaya wanapaswa wachape kazi, waache kukaa ofisini, ahakikishe wanafuata nyayo zake.


4. Asiwe na muhali kuchukua hatua sahihi kwa mtu au taasisi yoyote inayo kiuka taratibu na Sheria.

Jiji la DSM linahitaji kufanyiwa mabadiliko makubwa ili liendane sambamba na dhana ya kuwa Jiji.

5. Lazima awe mbunifu, wananchi wanahitaji kuona ubunifu.

Tunamtakia kila la heri, sisi wananchi wapenda maendeleo tutamsaidia kwa mawazo.
Kwa hiyo sisi tufanyeje sasa?
 
Tatizo la nchi yetu ni Siasa
Siasa haikwepeki, hata maendeleo ya kujenga mabarabara, hospitali, shule, SGR, Bwawa la Nyerere, kununua ndege, kujenga daraja la busisi n.k, hayo yote ni siasa safi.
 
Back
Top Bottom