Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,171
- 23,865
Kweli Jiji la Dar lazima lazima lipewe mtoto wa mjini kuliendesha.
Kwa mtaji wa tamko la Rais Samia, RC Amos Makalla amelisafisha Jiji la Dar tena bila vurugu za kupigana virungu.
Kwa mtu anayejua kuongoza mass dwellings , ni lazima hatua ya kuondoa machinga imekuwa very well planned.
RC Makalla nakupa pongezi kwa hilo.
Machinga lilikuwa janga la afya
Machinga ilisababisha ajali barabarani
Machinga na vibanda ilikuwa maficho ya vibaka
Machinga hawalipi kodi.
Machinga waliziba mitaro ya usafi wa maji ya mvua.
Sasa Jiji la Dar linarudi kwenye ubora wake.
Hongera sana Amos.
Kwa mtaji wa tamko la Rais Samia, RC Amos Makalla amelisafisha Jiji la Dar tena bila vurugu za kupigana virungu.
Kwa mtu anayejua kuongoza mass dwellings , ni lazima hatua ya kuondoa machinga imekuwa very well planned.
RC Makalla nakupa pongezi kwa hilo.
Machinga lilikuwa janga la afya
Machinga ilisababisha ajali barabarani
Machinga na vibanda ilikuwa maficho ya vibaka
Machinga hawalipi kodi.
Machinga waliziba mitaro ya usafi wa maji ya mvua.
Sasa Jiji la Dar linarudi kwenye ubora wake.
Hongera sana Amos.