RC Kilimanjaro aagizwa kusitisha uuzwaji wa mali za Chama cha Ushirika cha Kilimanjaro (KNCU)

Kila mahali ni vululuvululu....

Wataalam wetu pale hazina wanatuambia hivi ndivyo viashiria vya kasi ya ukuaji uchumi.
South Africa wakati Mandela anachaguliwa kuwa rais, wazungu wengi wenye pesa zao hawakuwa na imani na rais mweusi.
Wengi walihamishia pesa zao Australia, Canada, Europe na kwingineko. Hali hii ilisababisha uchumi wa SA kuyumba. Vijana wa kukosa ajira na matokeo yake ujambazi na wizi uliongezeka.

Wasiwasi wangu ni kuwa, hali inavyoendelea vijana kuiba na kuua kwao hawana cha kupoteza.
 
South Africa wakati Mandela anachaguliwa kuwa rais, wazungu wengi wenye pesa zao hawakuwa na Omani na rais mweusi.
Wengi walihamishia pesa zao Australia, Canada, Europe na kwingineko. Hali hii ilisababisha uchumi wa SA kuyumba. Vijana wa kukosa ajira na matokeo yake ujambazi na Wuxi uliongezeka.

Wasiwasi wangu ni kuwa, hali inavyoendelea vijana kuona na kuua kwao hawana cha kupoteza.
Sky Eclat na Wananchi wenzangu

Hii Serikali ipo kwa niaba ya Wananchi
Hatuwezi kuona mambo yanaenda kombo halafu tukabaki kimya

Haiwezekani.

Chukulia mfano hao benki wanaendesha benki bila ufanisi na BOT wamewapa miezi 6 wajirekebishe

Sasa wao wakaona wauze Mali za chama ili wapate hela ya benki kusimama

Hili Wazo ni halikubaliki kulingana na mwenendo wenye kutia mashaka Sana wa Benki

Ushirika ni nguzo ya kilimo chetu

Hatuwezi tena kuanza kuruhusu Mali za ushirika kutumiwa na wajanja Wachache na kuuzwa ovyo tu, huko ni kusaliti Wananchi

Serikali yoyote makini haitaruhusu haya
 
kirerenya Waziri mkuu super100%.hakuna kuuza Mali za chama.mhasibu mkuu WA bank hiyo ambaye sasa Ni meneja mkuu WA bank,afisa mikopo ambaye sasa Ni meneja WA tawi la bank hiyo huko rombo,meneja aliyestaafu,mwenyekiti WA bodi aliyeko na aliyemaliza muda wake.wanajus fedha za bank zilikoenda .waxirejeshe na sio kuuza mashamba ya kncu.hii bank Ni jipu .
 
Waziri mkuu super100%.hakuna kuuza Mali za chama.mhasibu mkuu WA bank hiyo ambaye sasa Ni meneja mkuu WA bank,afisa mikopo ambaye sasa Ni meneja WA tawi la bank hiyo huko rombo,meneja aliyestaafu,mwenyekiti WA bodi aliyeko na aliyemaliza muda wake.wanajus fedha za bank zilikoenda .waxirejeshe na sio kuuza mashamba ya kncu.hii bank Ni jipu .
Nakuunga mkono peno hasegawa

Hii Nchi imechezewa vya kutosha

Wote walioua Ushirika, kesi za Uhujumu uchumi ziko njiani

Ni kufilisiwa tu Mali zao ili kurejesha Mali za Wananchi

Huu ujinga wa kubembeleza haupo tena

Either your with Us or against Us

We will deal with them perpendicular....
 
H
Nakuunga mkono peno hasegawa

Hii Nchi imechezewa vya kutosha

Wote walioua Ushirika, kesi za Uhujumu uchumi ziko njiani

Ni kufilisiwa tu Mali zao ili kurejesha Mali za Wananchi

Huu ujinga wa kubembeleza haupo tena

Either your with Us or against Us

We will deal with them perpendicular....
Bank ya KCBL ilikuwa shamba la bibi 100%, walijusahau .ni mchea ulikula mbao hadi wakataka kuanza kila bati. Tena watumishi WA bank hiyo Sana tabia ya kuiba fedha za bank na wanakimbia,hasara inageuziwa kwa wakulima,Kuna afisa mikopo na meneja WA hiyo bank waliiba fedha na walikimbia.ushsuri wangu,uchungu ukiendelea,kitau, mwk WA bodi,meneja aliyeko,meneja WA tawi la rombo wawe pale magereza,combine to wanataka kukimbia.
 
H
Bank ya KCBL ilikuwa shamba la bibi 100%, walijusahau .ni mchea ulikula mbao hadi wakataka kuanza kila bati. Tena watumishi WA bank hiyo Sana tabia ya kuiba fedha za bank na wanakimbia,hasara inageuziwa kwa wakulima,Kuna afisa mikopo na meneja WA hiyo bank waliiba fedha na walikimbia.ushsuri wangu,uchungu ukiendelea,kitau, mwk WA bodi,meneja aliyeko,meneja WA tawi la rombo wawe pale magereza,combine to wanataka kukimbia.
Siku zao za hatari ziko malangoni
 
Ushauri
Siku zao za hatari ziko malangoni
WA kuuza Hilo shamba uliyolewa na kitau,ambaye Ni fisadi, kitau ushauri aliupata kwa mwanasheria WA bank,jamani kcbl inamtandao WA wezi mungu ndiye anayejua.mimi ninashauri watu wakamatwe kwanza,mengine tutaambiana baadaye, Kuna jengo liliuzwa hapo opposites na kanisa la kristo mfalime karibu na five star hard ware, Ni la kncu,liliuzwa pesa zilienda wapi?nani alilinunua? Nani aliliuza? Nilisikia liliuzwa 1.5 bilioni. Kncu na coasco Ni mapacha tena wanaofanana,
 
Safi sana maana naona Kumburu na wenzake bado wanaendelea kuitafuna KNCU japokuwa hawapo kazini.

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
mke WA mchungaji, Kilimanjaro bank ya ushirika upo?wewe utauambia umma fedha za wanachama ziliko.mara wewe mhudumu wa bank,Mara mhudumu WA meneja nyumbani kwake,Mara mume Wako mjumbe WA bodi, kudanganya wakulima.kwa serikali yetu hii makini,Anza kuweka ukweli mezani. Hakuna kuuza mashamba ya ushirika, mlishindwa kuuza hisa? Mlikojenda majumba ya kifahari tunapajua na magorofa tunayafamu yauzwe fedha za wakulima zipatikane.Tuliwahi kusema Kuna mtumishi WA umma ambaye Ni mwaajiriwa WA kcbl ukweli huo sasa utafahamika .
 
kirerenya Kuuza mali ya Chama cha ushirika ni uamuzi unaotakiwa kufanywa na mkutano mkuu wa ushirika. Benki ya KCBL mbali na kuwa KNCU ina hisa 68%- ambayo ndiyo mbia mkubwa haiwezi ku- dispose asset ili kuokoa biashara ambayo haijawahi kuuingiza faida tangu kuanzishwa kwake. Kwa mazingira yaliopo sasa hivi kwenye biashara ya mabenki hata wakiuza hilo shamba ili kukidhi kiwango hicho cha mtaji unaotakiwa na BOT ni ngumu sana kushindana sokoni, kwa hiyo uwezekano wa kuanguka ni mkubwa. Hilo shamba afadhali libakie mikononi mwa Chama na baadaye linaweza kuendelezwa likawa na manufaa kuliko kuuzwa ili kwenda kuokoa biashara ya hasara
Ni kweli ni upuuzi kwa benki zilizoshindwa kujiendesha ndani ya miaka miwili ya JPM kutegemea kuwa zitafanya wonders kwa miaka yake mingine mitatu, achilia mbali ukiongeza miaka yake mingine tena mitano.
Hata hivyo, bila kupepesa macho, Agizo la PM ni sawa na kuwatangazia wateja kuwa, fedha zao ndo hivyo haziko salama na kwa bahati mbaya wateja hawaruhusiwi tena kuchota zaidi ya milioni 2 kwenye Benki hiyo.
 
Ni kweli ni upuuzi kwa benki zilizoshindwa kujiendesha ndani ya miaka miwili ya JPM kutegemea kuwa zitafanya wonders kwa miaka yake mingine mitatu, achilia mbali ukiongeza miaka yake mingine tena mitano.
Hata hivyo, bila kupepesa macho, Agizo la PM ni sawa na kuwatangazia wateja kuwa, fedha zao ndo hivyo haziko salama na kwa bahati mbaya wateja hawaruhusiwi tena kuchota zaidi ya milioni 2 kwenye Benki hiyo.
jamani kwa 2020 sioni sababu ya kupoteza fedha kufanya uchaguzi, JPM anatosha.bank imeibiwa hii, basi Tu . Kuna tawi lilifunguliwa huko rombo, siri yake anaijua mwenyekiti wa bodi na meneja mkuu.
 
Nafikiri imefika wakati serikali itaifishe vyama vya ushirika au viyafanye kuwa mshirika ya umma japo sijui muundo wake wa uanzishaji.Nachojua watu wengi waliochangia kuanzisha hivi vyama ni wazee au hawapo lakini sasa hivi vinanufaisha watu wachache na familia zao,siku hizi magodown ya KNCU ukiyatembelea utalia na kiwanda kile cha kahawa na hotel vimebaki historia.
 
Tun
Nafikiri imefika wakati serikali itaifishe vyama vya ushirika au viyafanye kuwa mshirika ya umma japo sijui muundo wake wa uanzishaji.Nachojua watu wengi waliochangia kuanzisha hivi vyama ni wazee au hawapo lakini sasa hivi vinanufaisha watu wachache na familia zao,siku hizi magodown ya KNCU ukiyatembelea utalia na kiwanda kile cha kahawa na hotel vimebaki historia.
Tunaomba kwenye CV ya Mr Kitau(mwenyekiti wa bodi ya bank ya KCBL ) aiweke hapa watanzania waione,
 
Back
Top Bottom