Shepherd
JF-Expert Member
- Dec 14, 2012
- 2,417
- 1,645
Hivi chama cha ushirika ni mali ya mtu au ya wana ushirika.Natamani hii mambo ya ushirika iwekwe wazi.Uongozi dhaifu katika vyama vya ushirikia umesababisha hivi vyama kunufaisha wachache na wengi waliovianzisha kutokuelewa ni nini kinaendelea kutokana na wengi kuwa wazee na vijana na watoto wao kutokupenda kufuatilia Hisa za wazee wao walizoweka kwenye vyama vya ushirika wakati wa uanzishwaji wake.Tun
Tunaomba kwenye CV ya Mr Kitau(mwenyekiti wa bodi ya bank ya KCBL ) aiweke hapa watanzania waione,