RC Gambo ndani ya sakata la rushwa Arusha

RC Gambo ndani ya sakata la rushwa Arusha

Mollel hakuwa diwani mwaka 2008! Tuliza akili Mkuu fuatilia mambo kwa kituo ili uelewe kinachoendelea kwenye uzi huu.

Sawa mkuu lakini na hiyo 2008 siyo ya kuipuuzia!!
 
Mollel hakuwa diwani mwaka 2008! Tuliza akili Mkuu fuatilia mambo kwa kituo ili uelewe kinachoendelea kwenye uzi huu.
Mkuu mimi sijamzungumzia Mollel nimeulizia tu hiyo 2008 inamaanisha nini kwenye hiyo video?!!
 
Kweli hii nchi ni shida, pamoja na majibu yote na ufafanuzi wenye logic bado watu wanahoji "mbona imeandikwa 2008 ?"
 
Haimanishi lolote zaidi ya hiyo hicho kifaa kilichotumika kurekodi hayo mazungumzo tarehe yake kutokuwa updated.

Mkuu mimi sijamzungumzia Mollel nimeulizia tu hiyo 2008 inamaanisha nini kwenye hiyo video?!!
 
2008 mnyeti alikuwa DC?
Haaaaaa haaaaaa kwa hili siwezi nikalikubali kizembe hv nimekuwa nikiamini mambo mengi yapo kinyume lakn kwa hili wrong way ya hatari sana tatizo hakuna watu ambao ni maproffessional wa editing bongo sijaona ukweli wowote hapo mtu yupo kama anahojiwa alafu anafata kile kina kinachoelekezwa iweje tarehe ikosew mwez na mwaka alafu muda uwe sahihi alafu huyo aliyerekodi hiyo alitumia nokia ya tochi siyo kamera homa ya manjano na kijani+ pundamilia nilitegemea labda mtu anaoneka live bwana shika mpunga huu hapa alafu mwaga mboga kumbe mapicha picha ya joti na mpoki kwenye movie ya kifo kwendewn huko
 
Mkuu usipanic nimeuliza tu hiyo 2008 kwenye hiyo video inamaanisha nini?!!l
....Sawa ila kabla ya kuuliza pasua bongo kidogo, vinginevyo utakuwa kama wale wauliza questionnaires ambao wanakuta mwananchi wanayetaka kumuhoji yuko nje ya nyumba yake ya miti na kuezekwa kwa nyasi but yet wanamuuliza nyumba yako ni ya bati au ya nyasi?
 
Nilichojifunza hapa ni kuwa hakuna Wanasiasa tuna utititiri wa Wasanii/wachumia tumbo tu.
 
Tarehe 09, mwezi wa 01, 2008. Ni shiiida sana hii kitu.
Nimeona watu wengi sana wanajenga utetezi wao kwenye suala la tarehe na mwaka tu, lakini hawana shida na picha ya video na maongezi yanayoendelea huku ndani, hoja ya mwaka na tarehe inapoendelea kuibuka hapa binafsi naona inaongeza nguvu zaidi ya uhalali na ukweli wa hii kitu kama tu tunakubaliana na picha za video na maneno yake kwani suala la tarehe ya camera sidhani kama ni hoja kubwa sana hapa sana sana anathibitisha zaidi ukweli wa hii video kwani mwenye kuileta aliamua kuileta kama ilivyo bila kuedit chochote
 
Back
Top Bottom