RC Gambo awaomba radhi wajasiriamali waliotozwa ushuru na halmashauri ya Chadema jijini Arusha

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,952
141,941
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amewaomba radhi wananchi wa jiji la Arusha hususani wajasiriamali kwa kitendo cha cha halmashauri ya jiji hilo inayoongozwa na Chadema kuwatoza ushuru wa biashara.

Gambo amesema kuwa mh Rais Magufuli alishatoa mwongozo kwamba wajasiriamali wenye vitambulisho wasibughuziwe na hivyo amewapa onyo wale wote waliojaribu kwenda kinyume na mwongozo huo.

Source ITV habari!

Maendeleo hayana vyama!
 
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amewaomba radhi wananchi wa jiji la Arusha hususani wajasiriamali kwa kitendo cha cha halmashauri ya jiji hilo inayoongozwa na Chadema kuwatoza ushuru wa biashara.

Gambo amesema kuwa mh Rais Magufuli alishatoa mwongozo kwamba wajasiriamali wenye vitambulisho wasibughuziwe na hivyo amewapa onyo wale wote waliojaribu kwenda kinyume na mwongozo huo.

Source ITV habari!

Maendeleo hayana vyama!
Gambo ajifunze siasa safi kutokana na namna mkurugenzi wa jiji alivyolishughulikia.

Kwanza, mkurugenzi amemwita afisa aliyekosea na kumweleza kosa alilofanya. Na hata akamshauri ofisa aombe kwenda masomoni ili aongeze ufanisi wake. Hapa ingekuwa akina Gambo wangemsweka ndani masaa 48

Pili, mkurugenzi akakubali kubeba mzifo wa lawama wa mtendaji wake. Hapa unaona Gambo analaumu Chadema

Tatu, mkurugenzi kamfuata mwananchi aliyeumizwa na matendo ya afisa wa jiji na kumuomba msamaha kwa namna iliyodhati kabisa

Na mwisho, mkurugenzi ameelewesha vizuri sana ni namna gani kila mtu anapaswa kufwata maagizo ya Rais tuliyenaye sasa. Katumia vitabu vya dini na busara kuelezea hili. Badala yake, hapa unaona namna Gambo anavyotumia mikwara na vitisho kujaribu kuelezea jambo hilo hilo - utaratibu ambao unajenga hasira badala ya ukubalifu
 
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amewaomba radhi wananchi wa jiji la Arusha hususani wajasiriamali kwa kitendo cha cha halmashauri ya jiji hilo inayoongozwa na Chadema kuwatoza ushuru wa biashara.

Gambo amesema kuwa mh Rais Magufuli alishatoa mwongozo kwamba wajasiriamali wenye vitambulisho wasibughuziwe na hivyo amewapa onyo wale wote waliojaribu kwenda kinyume na mwongozo huo.

Source ITV habari!

Maendeleo hayana vyama!
We jamaa sifa zako zinashabihiana na za ibilisi yaani unafiki!!
 
dada cdm ndio inakusanya ushuru,mkurugenzi ndio mwenye dhamana ya jiji.acha nyege mshindo cdm watakupakata
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amewaomba radhi wananchi wa jiji la Arusha hususani wajasiriamali kwa kitendo cha cha halmashauri ya jiji hilo inayoongozwa na Chadema kuwatoza ushuru wa biashara.

Gambo amesema kuwa mh Rais Magufuli alishatoa mwongozo kwamba wajasiriamali wenye vitambulisho wasibughuziwe na hivyo amewapa onyo wale wote waliojaribu kwenda kinyume na mwongozo huo.

Source ITV habari!

Maendeleo hayana vyama!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkurugenzi wa Halmashauri ni mteule wa raisi,watumishi walio chini ya idara zake ni wafanyakazi wa serikali. CHADEMA inaingiaje?!
 
Fedha watakazokosa nani atazailipa? Mbona tunakwenda kiholela sana, hizi halmashauri zimejipangia mapato na matumizi kwa mwaka mzima anakuja kiongozi na utaratibu mpya, watu wasilipe kodi kwa halmashauri. Nani amefanya impact assessment?

Nchi inaendeshwa kwa hisia na kutafuta umaarufu, matokeo yake tutayaona muda si mrefu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amewaomba radhi wananchi wa jiji la Arusha hususani wajasiriamali kwa kitendo cha cha halmashauri ya jiji hilo inayoongozwa na Chadema kuwatoza ushuru wa biashara.

Gambo amesema kuwa mh Rais Magufuli alishatoa mwongozo kwamba wajasiriamali wenye vitambulisho wasibughuziwe na hivyo amewapa onyo wale wote waliojaribu kwenda kinyume na mwongozo huo.

Source ITV habari!

Maendeleo hayana vyama!
Na pia Mh Rais alishatoa muongozo atakayetoza kodi wamachinga wenye vitambulisho ni Kufukuzwa tu,GAMBO naye inabidi AFUKUZWE tu.
 
Mkurungezi anayoiongoza halmashauri ni CCM. Amewatuma watendaji chini yake kutekeleza sera ya CCM. Watendaji wote makada wa CCM.
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amewaomba radhi wananchi wa jiji la Arusha hususani wajasiriamali kwa kitendo cha cha halmashauri ya jiji hilo inayoongozwa na Chadema kuwatoza ushuru wa biashara.

Gambo amesema kuwa mh Rais Magufuli alishatoa mwongozo kwamba wajasiriamali wenye vitambulisho wasibughuziwe na hivyo amewapa onyo wale wote waliojaribu kwenda kinyume na mwongozo huo.

Source ITV habari!

Maendeleo hayana vyama!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom