Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,285
- 9,922
Jana nilipita pate stendi ya Daladala ya saba saba Dodoma hali niliyoiona pale ni ya kutisha, nilijiuliza sana akiwa watu wanaakili sawa sawa.
Wamachinga kama wote wamepanga biashara ndani ya stendi chini, sehemu Daladala zinapita wao wamepanga biashara zao, Daladala inabidi wapige hone ili ahamishe mchicha wake na gari ipite
Sijui viongozi wa jiji kama walishafika hapo wakaona hali ya hapo.
Siku daladala ikipata hitilafu watakufa watu kama njugu, nafikiri hapo ndipo viongozi wetu watashituka, hii haiwezi kuwa sahihi.
Wamachinga kama wote wamepanga biashara ndani ya stendi chini, sehemu Daladala zinapita wao wamepanga biashara zao, Daladala inabidi wapige hone ili ahamishe mchicha wake na gari ipite
Sijui viongozi wa jiji kama walishafika hapo wakaona hali ya hapo.
Siku daladala ikipata hitilafu watakufa watu kama njugu, nafikiri hapo ndipo viongozi wetu watashituka, hii haiwezi kuwa sahihi.