Nukuu:- 'Haya majibu ni ya watu wapumbavu tumsifosi kuishi mjini nenda morogoro kuna maeneo mengi kodi lima mpunga kilimo kina hela ila ninyi mnapenda kuzunguka na viti uko maofisin
Acha upumbavu jitambue'
Nukuu:- 'Haya majibu ni ya watu wapumbavu tumsifosi kuishi mjini nenda morogoro kuna maeneo mengi kodi lima mpunga kilimo kina hela ila ninyi mnapenda kuzunguka na viti uko maofisin
Media ndio zinamsifia na walamba asali lakin huku mitaan raia hawamkubalushawai lala njaa?
unataka rais akuletee pesa nyumbani kwako?
fanya kazi
Kwani Kikwete alifanyaje?aweke mazingira wezeshi ili wananchi waweze kufanya biasharaushawai lala njaa?
unataka rais akuletee pesa nyumbani kwako?
fanya kazi
Mbona sijaona walipozomea? Unadhani Lisu ndio atawajengea Mafuta hapo?Kuna dalili viongozi wengi wanajizima data au hawaelewi nini kinaendelea katikati ya jamii ya Watanzania.
Inakuwaje RC Chalamila anawahutubia watu wa Mbagala lakini alipofikia katika kutaka kutaja sifa za mheshimiwa Rais ndio anakumbana na kuzomewa na Miguno mingi hadi anagwaya?
Hiyo ni dalili ya nini?
Na jee hao wanao pita huku na kule na kuimba "mitano" tena wanawakilisha kundi gani? Maana ni wazi sio hili la aina ya watu wa Mbagala ambao ndio wengi nchi hii.
View attachment 2993561
😂😂😂🙆🏿♂️🙆🏿♂️Lamamayee kimeumana.Kuna dalili viongozi wengi wanajizima data au hawaelewi nini kinaendelea katikati ya jamii ya Watanzania.
Inakuwaje RC Chalamila anawahutubia watu wa Mbagala lakini alipofikia katika kutaka kutaja sifa za mheshimiwa Rais ndio anakumbana na kuzomewa na Miguno mingi hadi anagwaya?
Hiyo ni dalili ya nini?
Na jee hao wanao pita huku na kule na kuimba "mitano" tena wanawakilisha kundi gani? Maana ni wazi sio hili la aina ya watu wa Mbagala ambao ndio wengi nchi hii.
View attachment 2993561
Duh, makalio tena?!Wananchi wa Mbagala siku zote wanajitambua; hawakubali kulishwa matango pori. Hawa wanaojipitisha kumsifia Bi Tozo na kubandika mabango ya kumsifu nchi nzima ni chawa wake wanaonlamba mama miguu na makalio ili wapate kuishi.
Imekuwa usumbufu mkubwa sana, kama hii miradi ilikuwa na ya mwaka jana maana yake hela ilikuwepo, sasa hivi ni shida kubwa sana inasadikiwa certificate ya 100m unalipwa 50m Dah ujinga mkubwa huuShida ni Wizara ya fedha kutaka wakandarasi walipe wao kwa kupokea certificate wenyewe wizara ya fedha.
Huko nyuma ilikuwa meneja wa Tanroad analipa mwenyewe.
Sasa hatujui hao makatibu wa wizara fedha wameona nini kwenye mfumo wa zamani hadi ubadilike ? Kama mameneja wameaminiwa.waletewe fedha wanazoomba walipe.
Punguza kuingilia maisha ya watu binafsi.ushawai lala njaa?
unataka rais akuletee pesa nyumbani kwako?
fanya kazi
Walikuambia Hawailimi. Uchawa usikutoe akili. Very stupid.msifosi kuishi mjini nenda morogoro kuna maeneo mengi kodi lima mpunga kilimo kina hela ila ninyi mnapenda kuzunguka na viti uko maofisin
Punguza unafiki, Kama kwa kwako ni murua Kaa kimya, acha wenye dhiki waongee.Dhiki zako baki nazo .
Si tunaona maisha sasa hv ni murua
Lissu ameingiaje hapa?. Chalamila ni mjinga yeye kakuta watu wanakimbia goli moja milioni kumi halafu anaendelea kutaja jina la anayetoa milioni kumi kwa goli moja, kwanini asizomewe.Mbona sijaona walipozomea? Unadhani Lisu ndio atawajengea Mafuta hapo?
Itabidi chama kitumie hekima kubwa sana 2025.Kuna dalili viongozi wengi wanajizima data au hawaelewi nini kinaendelea katikati ya jamii ya Watanzania.
Inakuwaje RC Chalamila anawahutubia watu wa Mbagala lakini alipofikia katika kutaka kutaja sifa za mheshimiwa Rais ndio anakumbana na kuzomewa na Miguno mingi hadi anagwaya?
Hiyo ni dalili ya nini?
Na jee hao wanao pita huku na kule na kuimba "mitano" tena wanawakilisha kundi gani? Maana ni wazi sio hili la aina ya watu wa Mbagala ambao ndio wengi nchi hii.
View attachment 2993561
Ifike Mahali mtumie neno "Serikali yenu imepokea haya matatizo yenu na itatekeleza na kutatu haya matatizo" huo ni mfano TU, Siyo Kila jambo lazima umtaje mtu Kwa jina, huo ni unafiki Halafu ni kumharibia mtu, unaona Sasa watu wamezomea VIP,Rais kakuteua wewe Mkuu wa Mkoa,Wilaya, Mkurugenzi nk, Ulisema Serikali itatekeleza Moja,mbili, tatu,watu wanaelewa kama utekelezaji huo unatokana na Maelekezo ya Mheshimiwa Rais au mamlaka hizo za juu.Kuna dalili viongozi wengi wanajizima data au hawaelewi nini kinaendelea katikati ya jamii ya Watanzania.
Inakuwaje RC Chalamila anawahutubia watu wa Mbagala lakini alipofikia katika kutaka kutaja sifa za mheshimiwa Rais ndio anakumbana na kuzomewa na Miguno mingi hadi anagwaya?
Hiyo ni dalili ya nini?
Na jee hao wanao pita huku na kule na kuimba "mitano" tena wanawakilisha kundi gani? Maana ni wazi sio hili la aina ya watu wa Mbagala ambao ndio wengi nchi hii.
View attachment 2993561
Wewe unamuona mjinga lakin yuko na ajili! Fanyeni hata kilimo maana kinalipa muache kulalamikia fursa mezikaliaMjinga sana huyu