Akida MALCOLM X
JF-Expert Member
- Jul 4, 2014
- 484
- 453
Chalamila
Wewe ndio ulifukuza wale maofisa wa serekali!?Hello JF,
Natuma salamu na onyo kali na tahadhari kali na ya uhakika kwa RC wa DSM Chalamila chunga mdomo ni kawaida baada ya haya majigambo December hutafika, ukiwa kwenye nafasi hio hapo ulipo maisha ni zaidi ya hayo.
Hata nyegere huchokoza kibwege ndio aweze kupata mlo, nyuki wakali lakini nyegere awapapasa na kuwala nyuki wakali na asali yao.
DSM ni mkoa unaohusudiwa na sasa haina shaka Chalamila aanza kuvembewa.
Wakati ukuta.
Inshallah 🙏🙏🙏
Wabillah Tawfiq
Kwani Una hatimiliki ya Uislamu? We ajuza vipi??Wacha ujinga wewe wa kujidai u Muislam.
Pambaf.
Alisemaje?Kwa kweli alitumia maneno makali sana, ni wazi madaraka yameshamlevya.
Nani kazingua!?Ukizingua jipange ni hayo tu
Chalamila anawafukuza madalali wa kwenye masoko, hataki kuwaona nje wala ndani ya masoko na aliwaamuru walejeshe pesa walizowatapeli wafanyabiashara, vita kubwa hii maana familia zitayumba kwa ndoa kuvunjika.
Mi namuunga mkono, mdalali ni wajinga sana. Mtu unakuja na mzigo wako sokoni umeingia gharama kubwa then mtu mmoja tu tena kakaa tu hata shamba hapajui anakupangia bei ya hovyo
Kuwa Kocha wa mpira ndio uhuni.
Kabla hajaingia kwenye siasa Chalamila alikuwa lecture
Hawa jamaa wanakula pesa nyingi za bure ,wengine maisha yao ni hotel na guest ukileta mzigo hata kama una mteja wanataka upitie kwao .Yupo ok wafukuzwe tuChalamila anawafukuza madalali wa kwenye masoko, hataki kuwaona nje wala ndani ya masoko na aliwaamuru walejeshe pesa walizowatapeli wafanyabiashara, vita kubwa hii maana familia zitayumba kwa ndoa kuvunjika.
Pumbavu zake Juzi kati alikuwa sehemu Ile kuanza kuongea mikwaruzo ya pombe kwenye sauti ikasikika ni mlevi na anasifia pombe jitu la hovyo,
Pumbavu zake Juzi kati alikuwa sehemu Ile kuanza kuongea mikwaruzo ya pombe kwenye sauti ikasikika ni mlevi na anasifia pombe jitu la hovyo,
Pumbavu zake Juzi kati alikuwa sehemu Ile kuanza kuongea mikwaruzo ya pombe kwenye sauti ikasikika ni mlevi na anasifia pombe jitu la hovyo,
Pumbavu zake Juzi kati alikuwa sehemu Ile kuanza kuongea mikwaruzo ya pombe kwenye sauti ikasikika ni mlevi na anasifia pombe jitu la hovyo,
Ni wazi kashaanza kujisahau ni swals la mda tuHello JF,
Natuma salamu na onyo kali na tahadhari kali na ya uhakika kwa RC wa DSM Chalamila chunga mdomo ni kawaida baada ya haya majigambo December hutafika, ukiwa kwenye nafasi hio hapo ulipo maisha ni zaidi ya hayo.
Hata nyegere huchokoza kibwege ndio aweze kupata mlo, nyuki wakali lakini nyegere awapapasa na kuwala nyuki wakali na asali yao.
DSM ni mkoa unaohusudiwa na sasa haina shaka Chalamila aanza kuvembewa.
Wakati ukuta.
Inshallah 🙏🙏🙏
Wabillah Tawfiq