BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,377
- 8,121
“Kwa mfano juzi mmeona kuna lipicha linazagaa la masaji upande wa Kinondoni uko, kuna lipicha Wadada wanatikisa makalio yao kwenye maji sijui kwenye nini ile yanatoa mapovu nimemwambia RAS naye akaangalie pale atushauri kama Mama maana mimi ningeenda wangesema ametoka uko”
“halafu Limtu linatangaza kabisa, nimemshukuru sana Mheshimiwa Waziri (Gwajima) ame-react kwahiyo nahitaji Wakuu wa Wilaya Madubwasha yote ya aina hiyo ambayo yanakiuka misingi na maadili tuliyonayo mkazifunge zile biashara haraka, mkazifunge zile biashara haraka na mkazifunge kweli”