RC Arusha azomewa Mount Meru Hospital

RC Arusha azomewa Mount Meru Hospital

SMU, kila nikisoma haka ka-uyumbe kako nacheka sana halafu namuona jinsi Mulongo alivyo Mjinga.
 
Chalii mmoja aliyewahi kuwa houseboy kwa jamaa mmoja. Anafanya mambo yake kama Iddi Amin hapa Arusha....Ndio maana humjui maana hana hata CV.!!!!Tehee:coffee:

naskia lema alikuwa anazomea na yeye. mbunge kilaza
 
Hakuna aliyelihusisha tukio hilo na dini nyingine ila yeye ndo alianzisha hayo mawazo.... inaonekana uwezo wake wa kudadavua mambo ni finyu sana. Mbona anajichanganya? Ama serikali/ ikulu inahusika? Kwa nini aanze kuweweseka? Huyo hafai kabisa kwa nafasi aliyo nayo- anapwaya.
Hongereni Chali wa A town kwa kumpasha huyo RC
 
Hilo tukio nimeliona live!

Hakuwa na cha kusema badala ya kuondoka!
 
Wapi Lema? Vita uliyoimba hiyo inakuja sebuleni kwako, heri vita inayopigania haki!
 
Ninatia shaka kama kweli ni Mkurya kwa namna anavyo handle issues.

Kwani ni Mkurya gani aliweza ku handle issue intelligently mpaka awe model? Yupi? Werema -AG au nani/ Msipende kuwaruka watu wanapotenda kinyume cha taratibu au matakwa yetu maana anakuwa anafanya hivyo as an individual lakini sio kama mmwakilishi wa kikundi au kabila. Yeye akuamua kuwa CCM extreme sio kwamba anakoma kuwa Mkurya. Tuache steriotype maana zimeua nchi yetu. Watu walivyoona Sokine ni mzalendo wakafikiri kila mmsai ni mzalendo. Tukawaamini na kuwapa wadhifa. Mawe!!! Steriotype hii inatufanya tunawanyima Wachagga na Wahaya hasa public opportunities na kuua diversity ambayo tungeweza kuenjoy from them
 
Huyu RC inatakiwa ahamishwe kabisa hapo Arusha kwan huwez kuongoza watu ambao tayar washakukataa.
 
Zomea kilaza huyo au siku nyingine Mnakaa kimya wote mnamwangalia tu linavyobwabwaja. Hakikisheni hapati hata makofi ya kumpongeza wala meno ya kumchekea.
 
Kudos to wana Apolo wa A Town kwa Kuendelea Kuonesha Demonstration kwa Mulongo.
Jana Mmemzomea tena Pale alipoonekana kwenye Viunga Vya Mount Meru Hospital

Quote from Tanzania Daima

Alikwenda kabla ya Mh. Lema au yeye ndo alianza maana kuna dalili za mtu kuambiwa amewatuma kumzomea
 
narudia tena zomeazomea iendeleeeeeeeeeeeeeeee
 
Kudos to wana Apolo wa A Town kwa Kuendelea Kuonesha Demonstration kwa Mulongo.
Jana Mmemzomea tena Pale alipoonekana kwenye Viunga Vya Mount Meru Hospital

Quote from Tanzania Daima
Ni wazi sasa yy si mkuu wa mkoa bali ni mkuu wa taasisi za serikali Arusha...maana wananchi hawamtaki...huu mfumo wa kuchagulia watu kiongozi akatawale kwa mantiki ya kupeana ulaji tu haufai tena.
 
Back
Top Bottom