RC Arusha azomewa Mount Meru Hospital

RC Arusha azomewa Mount Meru Hospital

Tutaambiwa wananchi walikuwa wanamshangilia kutokana na utendaji wake wa kazi.
 
Bado watu wana machungu kwa Mbunge wao KUKAMATWA NA KUTIWA NDANI na mtuhumiwa ambaye bado anaonekana mtaani akijidai kuwafariji wakazi wale wale mbunge wao alimweka ndani. Lazima aendelee kuzomewa
 
Magesa Mulongo ndio nani?

Tafuta mwenye shati la kijani hapa

HATARI.JPG
 
Taratibu jamani......asije "akaifunga" na hiyo hospitali!
 
Atakuja pena akisema ni Lema kachochea
 
Safi sana wanaapolo kwa Zomea Zomea....nonstop mpaka huyo housebay aondolewe AraChuda!
 
Kuongoza Arusha yataka busara na ukomavu! Huyu anfaa kuwa mkuu wa Wilaya kama Kilindi, Misenye, N.K
 
Back
Top Bottom