MNYISANZU
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 7,048
- 1,102
Tende na halua zimekuharibu sana!Mahakama imefanya kazi yake kwa mujibu wa sheria za nchi Lema, kakutwa na hatia tujenge utamaduni wa kuheshimu sheria...RC katoa pongezi kwa Jaji kwa kusimamia sheria za nchi hakuna ubaya wowote...mbona Mbowe, alitoa pongezi kwa Jaji kule Singida kwenye kesi ya Tundu Lissu.