joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 15,170
- 31,750
Huna hoja, nimekufuatilia ktk threads zako nyingi za nyuma nikagundua you are ANTI-WCB. Unazani hizo habari zako zitaharibu brand, kitendo cha kuwazungumzia kwa ubaya au uzuri hakiwapunguzii kitu WCB sababu ww sio mungu na mchawi si lazima apae na ungo bali hata kauli na matendo yake yatosha kumjua, kilichobaki utafute nyanga, usinga na vibuyu ufungue kilinge chako. Huu upuuzi unaousambaza wa kufitinisha watu kwa maswala ya kidini unaonekana ww ni masikini wa mawazo, ila wenzako wanajenga nyumba sio chuki, wee endelea kufungua hizo threads zako zinazoonyesha ujinga wako.