Imani ipo rohoni. Mavazi si kitu. Akiukashifu ukatoliki dhambi zitabaki kuwa zake. Hatuna muda wa kuandamana sababu huo ni mtazamo wake. Huo muda wa kuandamana ni bora utumike kumuombea kwa mungu na kumwelimisha (kama kweli amekashifu) Hakuna aliye msafi 100% ila Mungu peke yake!