Ray Kigosi akiwa na mwanae Jayden!

Ray Kigosi akiwa na mwanae Jayden!

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,257
Reaction score
22,131
Sema kama haijakaa poa mtoto wa kiume kumvalisha hereni..
Screenshot_2018-01-22-06-13-21-1.png
 
Umeweka picha yake na mwanae ili kumsema ama! Angalau ungesifia hata kimoja ndio utoe na mapungufu.

Kwanza mapungufu uyaonayo wewe sio kila mtu ataona ni mapungufu,cha muhimu hajamdhuru mtu.

Tuache kuingilia maisha ya watu na kulazimisha waishi tutakavyo sisi.
Mkuu mimi sina tatizo na yeye na mwanae ila nimeona tu kama haijakaa vyema mtoto wa kiume mdogo akaanza kuvishwa hereni maana mwana umleavyo ndivyo akuavyo.
 
Umeweka picha yake na mwanae ili kumsema ama! Angalau ungesifia hata kimoja ndio utoe na mapungufu.

Kwanza mapungufu uyaonayo wewe sio kila mtu ataona ni mapungufu,cha muhimu hajamdhuru mtu.

Tuache kuingilia maisha ya watu na kulazimisha waishi tutakavyo sisi.
Yeye kaweka picha tu. Kaandika mapungufu gani? Wewe unayetetea inaelekea na wewe ndo ulivyo hivyo. Poke sana
 
Mkuu mimi sina tatizo na yeye na mwanae ila nimeona tu kama haijakaa vyema mtoto wa kiume mdogo akaanza kuvishwa hereni maana mwana umleavyo ndivyo akuavyo.
Acha kukremu na ujue dunia inabadilika. Akivaa diamond sawa ila akivaa maskini mwenzio ndio shida.
 
wow! adorable lil angel...

Ila sijapenda walivyokapaka bleech, he is too young jamani daah!!

Ila hongereni sana Chuchu na Ray kwa kuleta handsome boy.
 
wow! adorable lil angel...

Ila sijapenda walivyokapaka bleech, he is too young jamani daah!!

Ila hongereni sana Chuchu na Ray kwa kuleta handsome boy.
Kwani chuchu ndio mozaa ake
 
Back
Top Bottom