Kama ni wa kwake amuue kama hajanyea debeMtoto wake mnataka kumpangia anachomvisha nyie?
Kama ni wa kwake amuue kama hajanyea debeMtoto wake mnataka kumpangia anachomvisha nyie?
YAN KWA LUGHA RAHISMbona wamasai wanavaa hereni na kutoboa masikio?
Wamakonde wamalaba walikuwa wanasifika kwa tattoo zao kama za watu wa Amazon.
Saa nyingine Westernization inawafanya muone baadhi ya tabia na mila za kiafrika kama tumeigiza kutoka ulaya, wakati wao ndiyo wameigiza kutoka kwetu.
Nyinyi mnaopiga kelele ndiyo mna matatizo ya kisaikolojia, kwanini mtoto mdogo kama yule muanze kumpangia future yake kisa amevaa hereni?
Wengine utotoni mmevaa magauni ila hamjijui tu, Enzi za zamani ilikuwa kawaida mtoto wa kiumwe kuvalishwa gauni. Mnabisha?
Unafananisha kumvisha hwreni ma kumuua?Kama ni wa kwake amuue kama hajanyea debe
Kwa sababu katiba, Univwrsal Declaration of human rights na Bob Marley, ukiachilia mbali wajuvi wa mahusiano ya kijamii, wote wanasema kila mtu aachiwe kuishi anavyotaka ili mradi hajavunja sheria na kumuingilia mwingine.Sasa kwa nini utoboe sikio uvae hereni uchore tattoo
Mtoto ni wa JAMIIMtoto wake mnataka kumpangia anachomvisha nyie?
Hapana. Habari za mtoto ni wa jamii zimeisha enzi za ujima.Mtoto ni wa JAMII
Matabaka ya kibeberu ndio yanayotutenganishaHapana. Habari za mtoto ni wa jamii zimeisha enzi za ujima.
Watoto wangekuwa wa jamii kusingekuwa na tofauti kati ya Feza Secondary na Mbavuzambwa Sekondari.
Na ndiyo yashatutenganisha sasa. Kwa nini tunakataa ukweli?Matabaka ya kibeberu ndio yanayotutenganisha
Kwanini isiwe sawa? Watoto wa zamani si ndiyo hawa baba zetu wanaopanga hizi sheria? Au tunapangiwa na kina nani?YAN KWA LUGHA RAHIS
ZAMAN WATOTO WAKIUME WALIKUA
WANAVAA SAWA NA WA KIKE ?? KWAHIYO
NI SAWA??
Naomba mfano wa huyo mtangazaji pleaseJina langu la "Al-Watan" linakufanya uelewe nini kuhusu mimi?
Na utajuaje kwamba hata mtu anayejiita "Kichaa" hafanyi social experiment kuangalia jinsi akili yako ilivyo ndogo kwa kufikiri kwamba mtu anayejiita "Kichaa" ni kichaa kweli kwa sababu kajiita "Kichaa" JF ?
Zaidi, check your faulty logic.
Kumuwekea hereni mtoto si "kufanya kitu chochote".
Kwa sababu, "kufanya kitu chochote" kunajumuisha kumchoma kisu na kumuua. Na kumuwekea hereni si sawa na kumchoma kisu na kumuua.
Unajichanganya kwa kukosa kuweza kuandika kwa mantiki.
Mimi binafsi sipendi habari za kuvaa hereni wala kuweka tattoo, na nimezibukia Umarekani tangu mdogo, nipo Marekani miaka kibao, nchi ambayo watu wanaruhusu mpaka mtangazaji wa habari anayeheshimika kutoboa sikio na kuvaa hereni huku anatangaza habari kwenye TV.
Sijatoboa sikio wala kuvaa hereni. Hata tattoo ya ngama sina. Wakati huku mpaka ma profesa wa chuo kikuu wanatoboa masikio kuvaa hereni na kuweka tattoo.
Lakini, kutofagilia kwangu kuvaa hereni hakuzidi kutofagilia kwangu mzazi kuingiliwa katika malezi ya mwanawe kwa jinsi anavyoona yeye ni bora. Almuradi hajavunja sheria.
Pengine Ray anamuandaa mwanawe kuwa mcheza filamu, na katika jumuiya yao kutoboa sikio kuvaa hereni si issue. Na labda ndiyo kwanza itampandisha chati mwanawe, watu wamzungumzie kama unavyomzungumzia hapa. Kwa kanuniya "no publicity is bad publicity". Kama anaamini hivyo.
Sasa nyie watu baki mnamuingilia ili iweje?
Wabongo tunajali sana superficial appearance bila kuangalia deep issues.
Ndiyo maana wajanja wanatujulia wanakuja na wazungu wamevaa suti kali tunapigwa mikataba mpaka tunalia lia makinika.
Watu wanashupalia mtoto kavishwa hereni kama wameshiriki kumzaa.
Ukiwauliza mwanao ana college fund? Vichekesho vitupu.