Ray atetea uamuzi wa kumvisha hereni mtoto wake ambaye ni wa kiume

Jina langu la "Al-Watan" linakufanya uelewe nini kuhusu mimi?

Na utajuaje kwamba hata mtu anayejiita "Kichaa" hafanyi social experiment kuangalia jinsi akili yako ilivyo ndogo kwa kufikiri kwamba mtu anayejiita "Kichaa" ni kichaa kweli kwa sababu kajiita "Kichaa" JF ?

Zaidi, check your faulty logic.

Kumuwekea hereni mtoto si "kufanya kitu chochote".

Kwa sababu, "kufanya kitu chochote" kunajumuisha kumchoma kisu na kumuua. Na kumuwekea hereni si sawa na kumchoma kisu na kumuua.

Unajichanganya kwa kukosa kuweza kuandika kwa mantiki.

Mimi binafsi sipendi habari za kuvaa hereni wala kuweka tattoo, na nimezibukia Umarekani tangu mdogo, nipo Marekani miaka kibao, nchi ambayo watu wanaruhusu mpaka mtangazaji wa habari anayeheshimika kutoboa sikio na kuvaa hereni huku anatangaza habari kwenye TV.

Sijatoboa sikio wala kuvaa hereni. Hata tattoo ya ngama sina. Wakati huku mpaka ma profesa wa chuo kikuu wanatoboa masikio kuvaa hereni na kuweka tattoo.

Lakini, kutofagilia kwangu kuvaa hereni hakuzidi kutofagilia kwangu mzazi kuingiliwa katika malezi ya mwanawe kwa jinsi anavyoona yeye ni bora. Almuradi hajavunja sheria.

Pengine Ray anamuandaa mwanawe kuwa mcheza filamu, na katika jumuiya yao kutoboa sikio kuvaa hereni si issue. Na labda ndiyo kwanza itampandisha chati mwanawe, watu wamzungumzie kama unavyomzungumzia hapa. Kwa kanuniya "no publicity is bad publicity". Kama anaamini hivyo.

Sasa nyie watu baki mnamuingilia ili iweje?

Wabongo tunajali sana superficial appearance bila kuangalia deep issues.

Ndiyo maana wajanja wanatujulia wanakuja na wazungu wamevaa suti kali tunapigwa mikataba mpaka tunalia lia makinika.

Watu wanashupalia mtoto kavishwa hereni kama wameshiriki kumzaa.

Ukiwauliza mwanao ana college fund? Vichekesho vitupu.
Marekani ni Marekani na Tanzania ni Tanzania
Luna vitu Marekani wanavifanya na Tanzania hawavifanyi
Marekani si superior kwa Tanzania kama nchi.
Wewe kuwa Marekani hakukuongezei busara kuliko mtanzania aliyeko Tanzania
Ray angalimvalisha mtoto wake hereni akiwa Marekani isingekuwa hoja, imekuwa hoja sababu yuko Tanzania ambako hakuna mtangazaji au profesa aliyetoboa masikio
Hoja si tu kuwa Tanzania Bali kuwa mahali ambapo hapana mazoea hayo
 
Anamwandaa vizuri ili wazee wa Mambo yale wasipate Shida kwene Kumpumulia...
Kaka mdogo kama umesoma comment hii Nakushauri uache mambo ya ya ajabu huwezi kumvalisha mtoto mdogo vitu ambavyo yeye havijui halafu ukasema ni maamuzi yako. swali : je, akikua halafu akasema ulimdhalilisha? si itakua aibu kwako ? acha mambo ya ajabu !!
 
Yani mwanaume mzima anajisifu kutoboa masikio tena Kwa minajili eti ni maarufu, Hawa wasanii vichwa vyao mabox mdio mana hata wakipitisha bakuli wawapo na maradhi ata sijali
 
Back
Top Bottom