Ratiba ya mapokezi ya Wabunge wa UKAWA

Ratiba ya mapokezi ya Wabunge wa UKAWA

Kibo10

Kibo10, tafadhali, please please weka ratiba I.E. muda pia venue mapema kwani this time lazima nishiriki kuwapokea hawa mashujaa wetu,
 
Last edited by a moderator:
Hakika Mungu ni mwema,Mashujaa wetu karibuni sana na hongereni kwa Kazi nzuri mliyoifanya hakika mmelitendea haki Taifa letu
 
ingekuwa inaruhusiwa na UKAWA kusomba watu basi coaster zangu 3 za kisasa zingetumika .
 
Kutakuwa na Mapokezi makubwa ya Wabunge wa UKAWA. Kutoka Dodoma, wananchi watawapokea njiani na kuwasindikiza mpaka Dar Routes; watapokewa Kibaigwa, kisha Mdaula, Chalinze, Ruvu Darajani, Mlandizi, Kibaha Mjini, Mbezi Mwisho,Na hatimae Jangwani au Mwembeyanga.

Siku kamili, Loading.

Hii haisaidii kitu goli limeisha ingia na mpira umeisha , wewe sasa badala ya kupambana upate matokeo mazuri uwanjani wasubiria ushindi wa mezani. UKAWA kwenye hili imekula kwao , watafanya haya kujifurahisha ila haisaidii kitu
 
Hii haisaidii kitu goli limeisha ingia na mpira umeisha , wewe sasa badala ya kupambana upate matokeo mazuri uwanjani wasubiria ushindi wa mezani. UKAWA kwenye hili imekula kwao , watafanya haya kujifurahisha ila haisaidii kitu
uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana hadi inashangaza !
 
Hawa ni wanafiki wamekimbia kutuwakilisha bungeni hawastahili mapokezi yeyote ni ujinga na ni majinga ndo yatakayofanya shwreehe kuwapokea
 
uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana hadi inashangaza !

Wenye punje ya akili ndio watakao waunga mkono, ila wenye akili timamu na wenye kujua uendeshaji wa nchi hawawezi kushiriki kwenye huu ubaradhuli wa maandamano.
 
Kutakuwa na Mapokezi makubwa ya Wabunge wa UKAWA. Kutoka Dodoma, wananchi watawapokea njiani na kuwasindikiza mpaka Dar Routes; watapokewa Kibaigwa, kisha Mdaula, Chalinze, Ruvu Darajani, Mlandizi, Kibaha Mjini, Mbezi Mwisho,Na hatimae Jangwani au Mwembeyanga.
tunawasubiri kwa hamu sana
Siku kamili, Loading.
tunawasubiri kwa hamu
 
Hawa ni wanafiki wamekimbia kutuwakilisha bungeni hawastahili mapokezi yeyote ni ujinga na ni majinga ndo yatakayofanya shwreehe kuwapokea

Na neno zuri la kutumia sio wanafiki tu hawa pia ni mabaradhuli wa fikra
 
Back
Top Bottom