Mr. Nice Guy
Senior Member
- Jul 3, 2015
- 190
- 27
Viroba vitakuwepo?
Chadema na ukawa Kutangaza nia kwenye kata majimbo yanayongizwa na CCM ruksa sasa je mbona kwenye uraisi hawatangazi au Raisi ni UKAWA? Wanachama was chadema na ukawa wanaperekeshwa kama magari mabovu kweri mijitu imeshikwa akiri wewe unayejita mwanachama wa chadema tangaza nia ya kugombea uraisi kama hajafukuzwa mchana kweupe kama panya ndorobo weeeee chezea sacosi ya wachaga.
Upuzi huo nikuwafanya kuvimba vichwa vyao, kwalipi walilo fanya 2010-2015
Wenye akili kamazao ndio waende kuwapokea
Hawa ni wanafiki wamekimbia kutuwakilisha bungeni hawastahili mapokezi yeyote ni ujinga na ni majinga ndo yatakayofanya shwreehe kuwapokea
Tumechoka na tabia za ukawa kukimbia bunge. Tumewatuma waende bunge kujadili mambo yetu sasa wao badala kubishana kwa hoja wanatoka nje sasa kutoka nje kumesaidia nini? This is shame.
Tumechoka na tabia za ukawa kukimbia bunge. Tumewatuma waende bunge kujadili mambo yetu sasa wao badala kubishana kwa hoja wanatoka nje sasa kutoka nje kumesaidia nini? This is shame.
hivi hawa wapinzani wanamatatizo gani? mbona miswaada iko poa sana? au walidhani watashinda uchaguz the waje waandae ya kwao? mtawakamata wajinga wezenu
Shibuda, Arfi na Hamad Rashid watakuwepo safarini?
Mzee Tupatupa