Mkuu mimi ni raia wa kawaida sijui chochote naomba unifahamishe ni kipi ambacho wapinzani wanagomea ambacho kipo kwenye huo mswada wa petrol kabla sijaenda kwenye maaandamo naomba kujuzwa.Kutakuwa na Mapokezi makubwa ya Wabunge wa UKAWA. Kutoka Dodoma, wananchi watawapokea njiani na kuwasindikiza mpaka Dar Routes; watapokewa Kibaigwa, kisha Mdaula, Chalinze, Ruvu Darajani, Mlandizi, Kibaha Mjini, Mbezi Mwisho,Na hatimae Jangwani au Mwembeyanga.
Siku kamili, Loading.
Shibuda, Arfi na Hamad Rashid watakuwepo safarini?
Mzee Tupatupa
Ni maandamano mkuu wangu.Ajenda kuu
Ni maandamano mkuu wangu.
Mkuu mimi ni raia wa kawaida sijui chochote naomba unifahamishe ni kipi ambacho wapinzani wanagomea ambacho kipo kwenye huo mswada wa petrol kabla sijaenda kwenye maaandamo naomba kujuzwa.
Nawe niambie,Kulikuwa na sababu gani za kuwasilisha kwa hati ya dharura kabla ya ushirikishwaji wa wananchi na wadau?
By the way karibu tuwapokee makamanda wetu!
Sina muda mchafu kuandamana kwa biashara ya lowasa na mangi wazee wa kulilia vitalu vya gesi!!
Mkuu mimi ni raia wa kawaida sijui chochote naomba unifahamishe ni kipi ambacho wapinzani wanagomea ambacho kipo kwenye huo mswada wa petrol kabla sijaenda kwenye maaandamo naomba kujuzwa.
wakifika watwambie walichotumwa na mengi pamoja na waingereza juu ya mswaada wa gesi na mafuta.