Unkolonized
Member
- Dec 8, 2010
- 50
- 8
Kweli Tanzania maajabu yanazidi kuongezeka, nimesoma ratiba ya mapokezi ya mbunge wa Arusha mjini bwana LEMA eti ataenda kukagua ujenzi wa barabara zilizojengwa na chama tawala, barabara ambazo hata kumi hakuchangia,
kusimamia wala kuratibu! cha kushangaza sijui hata kama ana uelewa wowote wa mambo ya UHANDISI wa barabara hadi akakague.... mi nilifikiri muda huu bwana LEMA angeacha mbwembwe na kutafuta umaharufu binafsi na kujikita zaidi katika ILANI za chama chake na kutekeleza ahadi zake alizowahaidi waNAARUSHA ambazo karibu zote hajazitekeleza zaidi ya kujitafutia umaharufu binafsi ambao hauna tija kwa WANAARUSHA na wanaCDM WOTE TANZANIA
Inaonekana wewe sio mzima kabisa kiakili! Ccm wanaubavu gani wa kujenga barabara? Barabara zote zinajengwa na serikali kwa kodi ya wananchi na hiyo misaada ya mabepari!
Kingine, je hao madiwani wanavoenda kukagua miradi ya maendeleo wanakuaga wahandisi? Je, magufuli anapokagua barabara ana taaluma ya civil engineering? Ndugu JIPANGE!