GE2025 Ratiba ya chaguzi imetoka, NRNE chali. Liwe fundisho kwa wanaharakati

GE2025 Ratiba ya chaguzi imetoka, NRNE chali. Liwe fundisho kwa wanaharakati

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
View attachment 3421613
Manabii koko walisema kitendo cha bunge kupangwa kuvunjwa tarehe 03/ 08/ 2025 eti ni kusubiri kubadilishwa sheria kuruhusu "minimum reforms" baada ya shinikizo la CHADEMA kwenye mkakati wao wa No Reforms No Elections. Na kwamba uchaguzi utasogzwa labda hadi Januari 2026.

Ratiba imetoka hiyo hapo juu na uchaguzi ni tarehe ileile 29/ Oktoba/ 2025.

Funzo:-
1. Serikali haitishiwi nyau hata siku moja
2. Huwezi kubadili mfumo ukiwa nje ya mfumo. Gombea uchaguzi, ingiza wabunge wako kidogo halafu pambana
3. Ukisusa sisi twala
4. Kuwategeme wazungu (European Parliament, IDU etc) ndiyo wawasaidie kwenye makongamano ni kupoteza muda
5. CHADEMA kaa mbali na Maria Sarungi. Anaishi kwa kulipwa na Ford Foundation ili kuleta chokochoko

cc Mshana Jr
Kuwa sisiem sio lazima uwe mjinga bhana!

Nionyeshe ni wapi Chadema walisema watazuwia ratiba wala kampeni
 
Naomba kuuliza hiyo tume iliyotoa ratiba ni tume huru au ndo ile ile ya makanjanja?!....
 
Mwaka huu hakuna uchaguzi wewe - hatuna muda mchafu wa kupoteza.
 
View attachment 3421613
Manabii koko walisema kitendo cha bunge kupangwa kuvunjwa tarehe 03/ 08/ 2025 eti ni kusubiri kubadilishwa sheria kuruhusu "minimum reforms" baada ya shinikizo la CHADEMA kwenye mkakati wao wa No Reforms No Elections. Na kwamba uchaguzi utasogzwa labda hadi Januari 2026.

Ratiba imetoka hiyo hapo juu na uchaguzi ni tarehe ileile 29/ Oktoba/ 2025.

Funzo:-
1. Serikali haitishiwi nyau hata siku moja
2. Huwezi kubadili mfumo ukiwa nje ya mfumo. Gombea uchaguzi, ingiza wabunge wako kidogo halafu pambana
3. Ukisusa sisi twala
4. Kuwategeme wazungu (European Parliament, IDU etc) ndiyo wawasaidie kwenye makongamano ni kupoteza muda
5. CHADEMA kaa mbali na Maria Sarungi. Anaishi kwa kulipwa na Ford Foundation ili kuleta chokochoko

cc Mshana Jr
Yaani ningewadharau sana cdm kama wangekubali kushiriki uchaguzi huu kwa sheria hizi za kihuni. Wamechukua uamuzi wa maana kupita maelezo. Vyama vilivyo tayari kuburuzwa na ccm ndio vipeni hivyo viti, cdm wao wanaweza kupata kura kihalali bila hisani ya majizi ya ccm.
 
Mfano ungeweza kupendekeza wangetumia njia gani kumdhoofisha labda tukijaribu kukuvalisha viatu vyao??

..wamedhooficha Chadema.

..lakini hoja ya NRNE bado haijadhoofishwa, na kupatiwa majibu.

..Na Reforms ni hoja ambayo mzizi wake ni mapendekezo ya Tume za Jaji Nyalali, Jaji Kisanga, Jaji Bomani, na Jaji Warioba.
 
View attachment 3421613
Manabii koko walisema kitendo cha bunge kupangwa kuvunjwa tarehe 03/ 08/ 2025 eti ni kusubiri kubadilishwa sheria kuruhusu "minimum reforms" baada ya shinikizo la CHADEMA kwenye mkakati wao wa No Reforms No Elections. Na kwamba uchaguzi utasogzwa labda hadi Januari 2026.

Ratiba imetoka hiyo hapo juu na uchaguzi ni tarehe ileile 29/ Oktoba/ 2025.

Funzo:-
1. Serikali haitishiwi nyau hata siku moja
2. Huwezi kubadili mfumo ukiwa nje ya mfumo. Gombea uchaguzi, ingiza wabunge wako kidogo halafu pambana
3. Ukisusa sisi twala
4. Kuwategeme wazungu (European Parliament, IDU etc) ndiyo wawasaidie kwenye makongamano ni kupoteza muda
5. CHADEMA kaa mbali na Maria Sarungi. Anaishi kwa kulipwa na Ford Foundation ili kuleta chokochoko

cc Mshana Jr
Wanaharakati wamewaingiza mkenge viongozi na wanachama wa chadema.
 
View attachment 3421613
Manabii koko walisema kitendo cha bunge kupangwa kuvunjwa tarehe 03/ 08/ 2025 eti ni kusubiri kubadilishwa sheria kuruhusu "minimum reforms" baada ya shinikizo la CHADEMA kwenye mkakati wao wa No Reforms No Elections. Na kwamba uchaguzi utasogzwa labda hadi Januari 2026.

Ratiba imetoka hiyo hapo juu na uchaguzi ni tarehe ileile 29/ Oktoba/ 2025.

Funzo:-
1. Serikali haitishiwi nyau hata siku moja
2. Huwezi kubadili mfumo ukiwa nje ya mfumo. Gombea uchaguzi, ingiza wabunge wako kidogo halafu pambana
3. Ukisusa sisi twala
4. Kuwategeme wazungu (European Parliament, IDU etc) ndiyo wawasaidie kwenye makongamano ni kupoteza muda
5. CHADEMA kaa mbali na Maria Sarungi. Anaishi kwa kulipwa na Ford Foundation ili kuleta chokochoko

cc Mshana Jr
Hujui kitu, Shut Up!
 
Inasikitisha sana
Mimi binafsi nimekuwa nikitoa ushauri mara nyingi sana humu mtandaoni kwa hao Wahusika wa Vyama vya Upinzani, hususani CHADEMA. Wakati mwingine Nimekuwa nikitoa na mifano hai na halisia kabisa, kwa sasa sionif sababu hata moja ya kurudia kuelezea kuhusu jambo hili.
Kwani kuna uchaguziii??Uchaguzi ulifanyika siku nyingi,na leo kamatti ya maadili inawachagulia wabunge na madiwani,,Wewe kama unajihesabu ni mpiga kura unajidanganya,bora hiyo siku uifaye kuwa sikuvya mapumziko Utanishukuru badae.
 
Mbona Ratiba imetoka Kwa mfumo wa vifurushi vya MIX by YASS!?
 
Unafikiri mtafanikiwa kuwabadilisha watu mitazamo yao! Mabadiliko yatapiganiwa mpaka pale mtakapo nyoosha yenu mikono juu. Kamwe dhuluma haiwezi kuishinda haki.
Ila hayo mnayotaka sio leo na sio nyie
 
..uchaguzi ukifanyika katika mazingira haya utaonekana feki.

..Na watakaochaguliwa kutokana na uchaguzi huo watakosa uhalali mbele ya wananchi.

..hatua zilizochukuliwa na serikali bado sio jibu kwa hoja zilizowekwa mezani na Chadema.

hata waliochaguliwa 2020 pia tulisema wamekosa uhalali, Je kipi kilitokea?
 
Ok kuliko kushiriki dhambi hii Bora washiriki wenyewe
 
Manabii koko walisema kitendo cha bunge kupangwa kuvunjwa tarehe 03/ 08/ 2025 eti ni kusubiri kubadilishwa sheria kuruhusu "minimum reforms" baada ya shinikizo la CHADEMA kwenye mkakati wao wa No Reforms No Elections. Na kwamba uchaguzi utasogzwa labda hadi Januari 2026
Tueleze basi hilo Bunge kwa nini lilipangwa kuvunjwa tarehe 03/08/2025?
 
hata waliochaguliwa 2020 pia tulisema wamekosa uhalali, Je kipi kilitokea?

..kwa maoni yangu tunazidisha tatizo badala ya kulipunguza, na ikiwezekana kulimaliza.

..bunge la 2020-25 lilikosa uhalali, sasa tunataka kuwa na miaka 10, yaani 2020 mpaka 2030 ya Bunge lisilokuwa na meno, na uhalali.

..pia tunatengeneza mazingira mabaya ya kutumia Polisi na Mahakama kushughulika na wapinzani.

..Maana yake jeshi la Polisi, na mahakama, watajenga mazoea na utamaduni wa kuonea watu, badala ya kutenda haki.

..Mwisho, ni mambo ya utekaji na mauaji. Tangu mwaka 2016 mpaka leo kumekuwa na muendelezo wa matukio mabaya dhidi ya wataka mabadiliko. Kwa msingi huo 2016 to 2030 itakuwa ni miaka 14 ya dhuluma dhidi ya wanaopigania mabadiliko.

..Ukipima mambo yote hayo utakubaliana na mimi kwamba njia ambayo watawala wanataka kutupitisha sio salama, na haituhakikishii amani ya muda mrefu.
 
Back
Top Bottom