Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Wakuu nawatu wa tenolojia
Hii site http://teknohama.x10.mx/ imekaaaje ? ina tatizo gani ?nirekebishe kitu gani
Dhumuni niku tengenza blog yenye ladha ya kiwebsite. yaani nusu blog nusu web.teh teh teh.
so nilichukua template theme ya wordpreess + photoshop + google/Youtube ndo ninakuja na kitu hicho.=Kuchakachua
nimegundua kuwa kuna
Mnasemaje wadau
Hii site http://teknohama.x10.mx/ imekaaaje ? ina tatizo gani ?nirekebishe kitu gani
Dhumuni niku tengenza blog yenye ladha ya kiwebsite. yaani nusu blog nusu web.teh teh teh.
so nilichukua template theme ya wordpreess + photoshop + google/Youtube ndo ninakuja na kitu hicho.=Kuchakachua
nimegundua kuwa kuna
- tofauti kati ya web developing na web desining. Designing is the hardest part
- Photoshop ni nyenzo nzuri sana katika kudesign web ionekane tofauti
Mnasemaje wadau