Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,037
- 9,927
Waumini wa Rastafarian wamemfanyia ibada Rais Magufuli aliyefariki Machi 17, 20201 kwa matatizo ya moyo katika Hospitali ya Mzena.
Waumini hao wamesema wanamchukulia Magufuli kama Nabii wao kwa kuwa hata namna yake ya kiutawala ni namna ya kiafrika ya kutawala ya kutanguliza utu na maslahi ya taifa.
Wamesema tangu ameingia kwenye utawala walimuona kuwa Nabi ambaye badala ya jina la Yohana badaya ya John kama ambavyo linavyoandikwa. Hata hivyo jina John ni kiingereza cha jina Yohana.
Waumini hao wamesema wanamchukulia Magufuli kama Nabii wao kwa kuwa hata namna yake ya kiutawala ni namna ya kiafrika ya kutawala ya kutanguliza utu na maslahi ya taifa.
Wamesema tangu ameingia kwenye utawala walimuona kuwa Nabi ambaye badala ya jina la Yohana badaya ya John kama ambavyo linavyoandikwa. Hata hivyo jina John ni kiingereza cha jina Yohana.