Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,687
- 698,874
Natambua hilo tatizo sio kutokukubaliana nami tatizo ni namna ya upingaji uliojaa kejeli, na sometimes matusi na kashfa.. Nadhani tunapingana kwa hoja ndio njia sahihi ya kuwa great thinkersSijawahi wala kuwaza kukuchukia mkuu, huwa nachukia baadhi ya michango yako tu kitu ambacho ni cha kawaida kwani huwezi kuwafurahisha watu wote...
View attachment 1737580