Rasmi Viongozi wote wa Chadema wapigwa stop kufanya siasa

Rasmi Viongozi wote wa Chadema wapigwa stop kufanya siasa

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
8,551
Reaction score
20,346
GT
Wale wahuni waliopeleka kesi ya mali wanasema kupitia mawakili wao Baadhi ya viongozi wa Chadema wanakosea kutafasiri amri ya mahakama.

Mawakili hao wanasema kupitia jambo TV hakuna hata kiongozi mmoja wa chadema anapaswa kufanya siasa kuanzia ngazi ya kitongiji aha ha 😄 🤣 😂 😆

Dunia simama nishuke hii ndo Tanzania wazanibar siyo watu ni wanafiki na nusu. Hamna shida tutafika tu mdogo mdogo press ya polepole inatafutiwa maigizo mengi sana.
 
GT
Wale wahuni waliopeleka kesi ya mali wanasema kupitia mawakili wao Baadhi ya viongozi wa Chadema wanakosea kutafasiri amri ya mahakama.

Mawakili hao wanasema kupitia jambo TV hakuna hata kiongozi mmoja wa chadema anapaswa kufanya siasa kuanzia ngazi ya kitongiji aha ha 😄 🤣 😂 😆

Dunia simama nishuke hii ndo Tanzania wazanibar siyo watu ni wanafiki na nusu. Hamna shida tutafika tu mdogo mdogo press ya polepole inatafutiwa maigizo mengi sana.
Screenshot_20250613-122647~2.png
 
GT
Wale wahuni waliopeleka kesi ya mali wanasema kupitia mawakili wao Baadhi ya viongozi wa Chadema wanakosea kutafasiri amri ya mahakama.

Mawakili hao wanasema kupitia jambo TV hakuna hata kiongozi mmoja wa chadema anapaswa kufanya siasa kuanzia ngazi ya kitongiji aha ha 😄 🤣 😂 😆

Dunia simama nishuke hii ndo Tanzania wazanibar siyo watu ni wanafiki na nusu. Hamna shida tutafika tu mdogo mdogo press ya polepole inatafutiwa maigizo mengi sana.
Hata wakizuiwa kufanya siasa haisaidii kwa sababu wao watazuia uchaguzi, hapo ngoma droo.
 
GT
Wale wahuni waliopeleka kesi ya mali wanasema kupitia mawakili wao Baadhi ya viongozi wa Chadema wanakosea kutafasiri amri ya mahakama.

Mawakili hao wanasema kupitia jambo TV hakuna hata kiongozi mmoja wa chadema anapaswa kufanya siasa kuanzia ngazi ya kitongiji aha ha 😄 🤣 😂 😆

Dunia simama nishuke hii ndo Tanzania wazanibar siyo watu ni wanafiki na nusu. Hamna shida tutafika tu mdogo mdogo press ya polepole inatafutiwa maigizo mengi sana.
Pole sana, najua hata mwenyewe hujui ulichokiandika. Labda ongeza kwanza chuki Yako kwa hao wazanzibar pengine utapata Cha kuandika
 
GT
Wale wahuni waliopeleka kesi ya mali wanasema kupitia mawakili wao Baadhi ya viongozi wa Chadema wanakosea kutafasiri amri ya mahakama.

Mawakili hao wanasema kupitia jambo TV hakuna hata kiongozi mmoja wa chadema anapaswa kufanya siasa kuanzia ngazi ya kitongiji aha ha 😄 🤣 😂 😆

Dunia simama nishuke hii ndo Tanzania wazanibar siyo watu ni wanafiki na nusu. Hamna shida tutafika tu mdogo mdogo press ya polepole inatafutiwa maigizo mengi sana.

Hakuna ujumbe unaotakiwa kwa wananchi ambao haujawafikia. Wananchi wa leo ni waelewa. Hujuma zote hizi wanazijua na wanaziona. tuko nao huku ground

#NO REFORMS, NO ELECTION#
#Free Lissu#
 
Safi sana chawa wa mabeberu wapigwe wafungiwe tu to focus na maendeleo
 
Back
Top Bottom