Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 25,012
- 56,303
Anza na urubani mkuuKwakuwa maisha ni mapambano nmeamua kuwa afsa ubashiri na mtaji wangu wa karibia 800K, nakarbsha maoni yenu WAKUU.
Anza na urubani mkuuKwakuwa maisha ni mapambano nmeamua kuwa afsa ubashiri na mtaji wangu wa karibia 800K, nakarbsha maoni yenu WAKUU.
Hyo nawaachia wengneAnza na urubani mkuu
Mtoto mngese sana,yaani ukiwa mtu wa kubeti sana dish kidogo linayumba.Nimecheka sana,binafsi kamali zote zimenishinda,ulevi ndio kabisa.Kuishi kwakutegemea kubeti yaani kama ugonjwa ni special caseWatu mnafanya tuvunjike mbavu
Kazi moja nzuri sanaKwakuwa maisha ni mapambano nmeamua kuwa afsa ubashiri na mtaji wangu wa karibia 800K, nakarbsha maoni yenu WAKUU.
🤣🤣🤣🤣🥳Ahahahahh 🤣 🤣 🤣 🤣 hapo umenigungua .
Nataka nianzishe uzi
Tugawane faida hiyo afisa.Uko sahihi afsa mwenzang mie jmosi hapo nimestake elfu 20 nmepata laki tisa na hamsini n uhakika hii ajira
Ni ngumu sana kutoboa kwenye betting.Hiyo laki 8 ungefungua tu ngenge la mitumba usingekosa chochote kitu, lakini huko ulikochagua kwenda, Mimi Niko pale nakuchora mkuu hutoboi round
😆😆😆 majukum mengi afsa nishaanza kuizungushaTugawane faida hiyo afisa.
Kipenga kinalia na wewe unaanza kulia 😀😀Ile unaweka tu kwenye odd ya 1.2 au 1.19 ukizani umeua, unashangaa hata cash out ya 100 upewi mara unajipa moyo , mara dk ya 75 draw, 85 1-0 unavimba dk ya 90 1-1 hapo kipenga kinalia na wewe unaanza kulia mpaka magomeni mapipa bahati mbaya askari walinda amani hawatakuwepo.
Mimi nilimwogopa, nikasema nae hivi na nikampasua vibaya.mtoa mada, Real Betis kakuchania.