Rasmi nimejiajiri kama Afisa Ubashiri

Rasmi nimejiajiri kama Afisa Ubashiri

Kwakuwa maisha ni mapambano nmeamua kuwa afsa ubashiri na mtaji wangu wa karibia 800K, nakarbsha maoni yenu WAKUU.
Ile unaweka tu kwenye odd ya 1.2 au 1.19 ukizani umeua, unashangaa hata cash out ya 100 upewi mara unajipa moyo , mara dk ya 75 draw, 85 1-0 unavimba dk ya 90 1-1 hapo kipenga kinalia na wewe unaanza kulia mpaka magomeni mapipa bahati mbaya askari walinda amani hawatakuwepo.
 
Back
Top Bottom