Kipapatio chako kama kingewekewa luku ya tanesco nahisi Umeme toka ethiopia na sasa kuna mpango wa uranium kingetumia unit nyingi na makato mengi.Ninasikitika ninapoandika haya lakini sina jinsi ndiyo imeshatokea.
Nilipompata huyu mwanaume niliamua kutulia hata namba sikuwa natoa kwa wanaume wengine lakini mwenzangu naona anapenda vita kuliko amani.
Nimejaribu kuvumilia na kujishusha vya kutosha but this is too much mimi ntakuwa wa kuomba msamaha kila siku kwa vitu vidogo ambavyo vinaongeleka, hapana.
Rasmi ninaachana na mapenzi kwa sasa, asanteni🥲😢
Sijambo nipe newsBinti Sayunii hujambo? 🙂
Haya Anza kutoa sasahata namba sikuwa natoa
Nimekumiss tu 🙂Sijambo nipe news
Asante sana mkuuNimekumiss tu 🙂
Okay usikumwema nakupendaAsante sana mkuu
Asante kipenzi, ulale salamaOkay usikumwema nakupenda
Noo usimwacheNinasikitika ninapoandika haya lakini sina jinsi ndiyo imeshatokea.
Nilipompata huyu mwanaume niliamua kutulia hata namba sikuwa natoa kwa wanaume wengine lakini mwenzangu naona anapenda vita kuliko amani.
Nimejaribu kuvumilia na kujishusha vya kutosha but this is too much mimi ntakuwa wa kuomba msamaha kila siku kwa vitu vidogo ambavyo vinaongeleka, hapana.
Rasmi ninaachana na mapenzi kwa sasa, asanteni🥲😢
Asante mkuu nitaufanyia kazi ushauri wakoNoo usimwache
Ila pandisha thaman ya
1. Muda unauwekeza kwake, kama kujibu sms, kupatikana ,nk
2.utu! Acha kufanya vitu vinavyofeedhesha au kushusha utu wako
Rudi utoe mrejesho
Mlipokutana alikwambia utulie ama ulikuwa uamuzi wako? Ikiwa ni uamuzi wako ni haki yako kuubadili. Ila usimlaumu yeye kwa kushindwa kutulia, hajaamua kutulia na wewe iwe kiakili au vyovyote.Nilipompata huyu mwanaume niliamua kutulia
Kwa vile sasa haupo nae naomba namba yako. Nitumie PM😂😍hata namba sikuwa natoa kwa wanaume wengine lakini mwenzangu naona anapenda vita kuliko amani.
Unaomba msamaha kwa kosa gani? Aombae msamaha ana kosa.mimi ntakuwa wa kuomba msamaha kila siku kwa vitu vidogo ambavyo vinaongeleka, hapana.
Mpaka lini sasa, haujaweka deadline.😎.Rasmi ninaachana na mapenzi kwa sasa, asanteni🥲😢