Rasmi kwa ajili ya jukwaa la mahusiano..........

Rasmi kwa ajili ya jukwaa la mahusiano..........

Wakuu,
baada ya kuwa msomaji wa jamvi hili kwa miaka kadhaa kwenye maswala ya siasa, sasa nimejiunga rasmi na nia ni kwenda kuleeee..... Kwenye jukwaa la mahusiano, mapenzi, urafiki...... Nadhani ndio jukwaa linalonofaa zaidi kipindi hiki ninachotafuta mchumba. Wazoefu wa kule naomba mnipokee na kama kuna single lady humu anaweza kuendelea kuni-PM kabla sijapost rasmi nia yangu ya kutaka kupata mchumba ambaye ni GREAT THINKER.
Nawasilisha.

Naona unatafuta mchumba kisanii sijui kama utafanikiwa kumpata
 
wakuu,
baada ya kuwa msomaji wa jamvi hili kwa miaka kadhaa kwenye maswala ya siasa, sasa nimejiunga rasmi na nia ni kwenda kuleeee..... Kwenye jukwaa la mahusiano, mapenzi, urafiki...... Nadhani ndio jukwaa linalonofaa zaidi kipindi hiki ninachotafuta mchumba. Wazoefu wa kule naomba mnipokee na kama kuna single lady humu anaweza kuendelea kuni-pm kabla sijapost rasmi nia yangu ya kutaka kupata mchumba ambaye ni great thinker.
Nawasilisha.

tukichoka ndoo tunamalizia hilo jukwaa, YAPO MAJUKWA MENGINE MAZURI KULIKO HILI. Sasa ndugu kma umekuja kwajili ya hilo tuu, NAKUTAKI KILA LA HERI. Mambo mengi yataiumiza nafsi yako tuu. Nakushauri ona lakini usitazame kila kitu.
 
Back
Top Bottom