Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,001
- 9,866
Unafiki kitu kibaya!! Ukiona mtu hana hofu ya Mungu, huyo ni wakuogopa!
Acha uongo sio msikitini hapo, kawe mnapigwa tu.
Rashida gwajuma
Katika kitu pekee ninapo ikubali Dini yangu ni suala zima la kutokua na unafiki kwa mnafiki,na mnafiki huyu hakika tutamnyoosha
Katika kitu pekee ninapoikubali dini yangu ni suala zima la kutokuwa na unafiki kwa mnafiki na mnafiki huyu hakika tutamnyoosha