Ras simba tuhurumie

Reply yako imeniacha na maswali mengi kuanzia uandishi, aina ya lugha uliyotumia mpaka mafanikio
Hii ni reply yako ya pili tangu ujiunge JF mwaka 2014 bado nazidi kuwa na maswali
 
kama nchi mmegeuza kujua kiingereza ni moja Ya kigezo cha mafanikio YY afanyaje ....zile fursa wanazoimba clouds ni zipi ? au [HASHTAG]#njeYabox[/HASHTAG] Ya HK wazir wa afya unadhan n kwa aina gan
 
Kwa ninavyoelewa, lugha ya mazungumzo ni matumizi ktk mazingira, sio kanuni. Mtu akiwekwa kwenye mazingira ya kuitumia lg husika ataitumia tu. Hizi kanuni huwahusu wanaojifunza lugha hiyo kama somo. Aidha, mambo ya kanuni huweza kuwa mepesi yakielezwa baada ya mtu kujua matumizi yake ktk mazingira husika.

Kuna watu wamemeza kanuni bila kuweza kutengeneza hata sentensi moja ktk mazingira husika.
 
Reply yako imeniacha na maswali mengi kuanzia uandishi, aina ya lugha uliyotumia mpaka mafanikio
Hii ni reply yako ya pili tangu ujiunge JF mwaka 2014 bado nazidi kuwa na maswali
Hahaha ....kaja kurusha mateke ...
 
Hahahaa 'frent poj '
 
Nadhani atakuwa ndie ras simba mwenyewe huyu
Mimi nilikuwa mwanafunzi wake ,amenisaidia sana ,Ras simba ni zaidi ya British council .kuna wanafunzi wa British council walishindwa kuongea na kuandika kingereza fasaha laki kwa Ras simba they speak fluently, jamani Mimi nilikuwa sijui kingereza hata kidogo nimejifunza kwa Ras Simba.Ras simba halikataa kuajiliwa British council, Jamaa yupo nondo na njia anazotumia ni sahihi mno,mfano Musa ameondoka muda sasa hivi,wakati uliopo mtimilifu kwa kingereza we write like that we start with subject + helping verb has/have + verb in past particles = Musa has gone recently.kama unabisha niulize swali lolote la kingereza nikuelekeze kwa muujibu wa Ras simba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…