Tz boy 4tino
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 1,598
- 1,816
Ndiyo ,anaweza kupewa alafu akaja kuharibu, tabia za nje ya uwanja.View attachment 1282799View attachment 1282799View attachment 1282799View attachment 1282799View attachment 1282799Ballondoir ya mwaka huu imekuwa ya utata sana kama zilivyokuwa nyingine za miaka ya karibuni. Mshindi wa Ballondoir wa mwaka 2019( Lionel Messi) naye ameshindwa kukaa kimya na kukiri kuwa Mchezaji Sadio Mane alistahili tunzo hiyo. Messi alizungumza hayo alipohojiwa na gazeti la Marca baada ya kutoka mazoezini
Idadi ya wajinga wa Africa inaongezeka kupitia watu kama nyie! Yaani wewe unabishana na Messi ambaye kwa kinywa chake mwenyewe amekiri kwamba Sadio Mane ndiyo angepaswa kuwa mchezaji bora?Yaani Mane ni zaidi ya mesi na Ronaldo? ujjinga wa namna hii unapatikana africa tu ..
Sasa yale ni mawazo ya Messi, Kila mtu ana mawazo yake..Idadi ya wajinga wa Africa inaongezeka kupitia watu kama nyie! Yaani wewe unabishana na Messi ambaye kwa kinywa chake mwenyewe amekiri kwamba Sadio Mane ndiyo angepaswa kuwa mchezaji bora?
Binafsi namkubali sana Mane, recently he's my favorite player. Nakubaliana na mleta uzi kuwa rangi yake ndiyo sababu kubwa ya kuikosa hiyo tuzo ya mchezaji bora!
Amesema ni mchezaji anayempenda sio kwamba ndie alipaswa kuwa mshindiIdadi ya wajinga wa Africa inaongezeka kupitia watu kama nyie! Yaani wewe unabishana na Messi ambaye kwa kinywa chake mwenyewe amekiri kwamba Sadio Mane ndiyo angepaswa kuwa mchezaji bora?
Binafsi namkubali sana Mane, recently he's my favorite player. Nakubaliana na mleta uzi kuwa rangi yake ndiyo sababu kubwa ya kuikosa hiyo tuzo ya mchezaji bora!
Amesema ni mchezaji anayempenda sio kwamba ndie alipaswa kuwa mshindi
Mzazi unafuatilia mpira kweli?
Mane kaiwezesha klabu yake ya Liverpool kuchukua klabu bingwa ulaya na kuifikisha timu yake ya taifa fainali ya mataifa ya afrika.Hakuna utata wowote nyie vijana mnateseka sana
weka statistics za Mane vs Messix vs Cr7 tuone nani amestahili