Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,235
I like light blue(au wanasema bluu bahari) & Pink.
ha ha ha....pearl naona umemjibu MMK....ila hii yako kiboko.....nimependa design ya sehemu ya mkanda
Ya kwangu mimi nyekundu,Ipo rangi niipendavyo
Napenda nimuanavyo
Akishatinga kihivyo,
Nashindwa kuwa mchoyo!
Sipendi kwangu mwenyewe
Ila yeye aivae
Nikimwona atambue
Naipenda aelewe!
Ipo rangi upendayo
Rangi ya mwenzako huyo
Akijipamba mwenzio
Mwingine hamzidi huyo..
Na. M. M. Mwanakijiji
Ya kwangu ni Zambarau ya Kifalme (Royal Purple)
Ya kwangu mimi nyekundu,
Ikivaliwa kitundu,
Nguo isikose tundu,
Nazimia kwa kiwewe.
Kwa huyo aivaaye,
Nguoye imkaaye,
Tena na imbanaye,
Nafurahi kuwa kuwa naye..
Mwiliwe ujaejae,
Mwendo usimkatae,
Tabasamu limkae,
Huba itafika kwake.........
Radi hiwezi penyea,we nawe!nyekundu akipigwa na radi je?
ha ha ha comrade kumbe nawe umo kwa hii fani!! nimesha do the needfulYa kwangu mimi nyekundu,
Ikivaliwa kitundu,
Nguo isikose tundu,
Nazimia kwa kiwewe.
Kwa huyo aivaaye,
Nguoye imkaaye,
Tena na imbanaye,
Nafurahi kuwa kuwa naye..
Mwiliwe ujaejae,
Mwendo usimkatae,
Tabasamu limkae,
Huba itafika kwake.........
Heheh! Nimeiona.ha ha ha comrade kumbe nawe umo kwa hii fani!! nimesha do the needful
Heheh! Nimeiona.
Ukiona hivyo ujue nna hang'over.
Hii kichwa bila hang'over huwa hamna kitu kabisa. Nimekugongea Senksi kakague
Taratibu. Wife unamwona hapo chini? Utaharibu.ww na mwenzio kaizer mlochangia maskio ya mtoto leteni hela ya pasaka y amtoto wenu asa wise ntaenda ustawi
Taratibu. Wife unamwona hapo chini? Utaharibu.
Afu hujasema rangi yako ni ipi?
Halafu nshajua wewe ni mwongo.Hakuna cha mtoto wala nini.Mchumba wangu ni mwaminifu.Namwamini na kamwe hawezi nisaliti.Labda kajaribu kwa kaizer,unaweza kumpata.wife bongo?kwani hajui una mtoto?nimechagua mbn?
Taratibu utaharibu bana! Dah!!!!!!wife bongo?kwani hajui una mtoto?nimechagua mbn?
Haijapinda hiyo, hilo ni pozi, tena la nguvummmh ila miguu imepinda bana