Ben Saanane JF-Expert Member Joined Jan 18, 2007 Posts 14,580 Reaction score 18,229 Mar 15, 2010 #61 -kifuani napo,hapajafulia!
Regia Mtema R I P Joined Nov 21, 2009 Posts 2,970 Reaction score 873 Mar 15, 2010 #62 Mzee Mwanakijiji said: inabidi huku tuwaachie wengine kwa kweli.... tutakuwa tunaingia kusalimu salimu tu.. mambo ya kuwaita wazazi mara ya pili gharama! Click to expand... Mmh,kusalimu salimu tu eti kuogopa gharama,hii haijatulia kabisa Mwanakijiji...Babu anachungulia tena?
Mzee Mwanakijiji said: inabidi huku tuwaachie wengine kwa kweli.... tutakuwa tunaingia kusalimu salimu tu.. mambo ya kuwaita wazazi mara ya pili gharama! Click to expand... Mmh,kusalimu salimu tu eti kuogopa gharama,hii haijatulia kabisa Mwanakijiji...Babu anachungulia tena?