Range rover new model (2016) inauzwa!!

Range rover new model (2016) inauzwa!!

Gari inauzwa ni mpya kama inavyo onekana hapo range new model 2016 imetembea km 20 tu!! 400Mil only! Haina dalali
Napatikana Masaki Dar es salaam!

2016-Land-Rover-Range-Rover-Evoque-side-angle-red-color.jpg
Hili tangazo halijakaa poa kbs. Mbona hamna namba za simu ama detaila za gari husika?
 
tuache utani,mtu anayetembelea chuma ya 400ml hawezi kuwa anaongea maneno mepesi mepesi kama wewe
Kweli kabisa kwanza ata post zake zinahaririwa kabla ya kuwekwa online! Hahahah jamaa alikuwa anatafuta madem tu hana lolote
 
Wenzako tunakaaga kwenye vx kilimo kwanza ambayo unaweza kuliuza anytime bila shida.

Mkuu li-evoku ni mimba.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Evoque is so 2012. Mambo Porsche Macan.

But I digress. To each his own.
 
Mleta hoja anaitwa "waziri wa kaskazini" - Hii mockery kwa watu wa kaskazini itaisha kwa heshima sana
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Yaani kwa jinsi ulivyoweka hilo tangazo lako halafu unatuambia eti umeshapata mteja hata mtoto wa form one anajua ni uongo wa kutafuta sifa tu...na hata biashara ya magari hasa mtandaoni huenda hujui inafanyikaje....

Wanaojua watakua wamenielewa
 
tzs 400m ni karibu $200,000.
Umechambua vizuri sana kaka!

Gari haina cha ziada au special ambacho magari mengine yanaweza kuwa navyo au yasiwe navyo kumbuka hadi kufikia gharama kubwa kama navyo taka kuliuza gari sijaichukua yard au sijaagiza be foward sijatumia wakala yoyote bro! Gari niliiyona kwenye mtandao nikalipenda na nikachukua picha kama sample nikaingia constract na kampuni ya range wanitengenezee kama navyo taka mim wanacho angalia wao ni maslai ya hela tu! Kipi nikiongeze na kipi nisikiweke ndiyo maana unaona gharama imepaa ila sijaweka bei halisi yake hadi kukamilika! Gari kama unavyo iyona hapo juu kila kitu ila ina milango mitano, Inauwezo wa kutembea bila mafuta kutoka Morogoro hadi dar kingine ina bulatt proof haipitishi risas, speed yake ni mara mbili ya range ya kawaida! Ndani ya miaka 7 ikiharibika unatumia speare kwa gharama zao! Bonus niliyopewa ni kusafirishiwa bure hadi bandarini! Ina vitu vingi sana hivyo nivichache!
 
milion 400 kiruuuu.... Hapo napata nyumba nzuri sana kwa 70mil. Napata gari nzuri sama ya kutembelea kwa mil 8 tu yaani nzuri ajabu.
Hapo nanunua Coaster zinapiga safari.... Naenda shamba napiga mzigo balaa. Ukinitafuta 2018 sikamatiki nimeshakua tajiri

Kibo cha ndesi

Ukishafanya yotee hayo na mengineyo halafu una kama B kadhaa zimekaa benk bila kazi na kila siku zinazidi kuingia utazifanyia nini?
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Umechambua vizuri sana kaka!

Gari haina cha ziada au special ambacho magari mengine yanaweza kuwa navyo au yasiwe navyo kumbuka hadi kufikia gharama kubwa kama navyo taka kuliuza gari sijaichukua yard au sijaagiza be foward sijatumia wakala yoyote bro! Gari niliiyona kwenye mtandao nikalipenda na nikachukua picha kama sample nikaingia constract na kampuni ya range wanitengenezee kama navyo taka mim wanacho angalia wao ni maslai ya hela tu! Kipi nikiongeze na kipi nisikiweke ndiyo maana unaona gharama imepaa ila sijaweka bei halisi yake hadi kukamilika! Gari kama unavyo iyona hapo juu kila kitu ila ina milango mitano, Inauwezo wa kutembea bila mafuta kutoka Morogoro hadi dar kingine ina bulatt proof haipitishi risas, speed yake ni mara mbili ya range ya kawaida! Ndani ya miaka 7 ikiharibika unatumia speare kwa gharama zao! Bonus niliyopewa ni kusafirishiwa bure hadi bandarini! Ina vitu vingi sana hivyo nivichache!

 
  • Thanks
Reactions: MC7
Wenzako tunakaaga kwenye vx kilimo kwanza ambayo unaweza kuliuza anytime bila shida.

Mkuu li-evoku ni mimba.

Kila mtu bro ana interest zake anunue gari gani ilimradi mfukoni hela ipo!

Yaani kwa jinsi ulivyoweka hilo tangazo lako halafu unatuambia eti umeshapata mteja hata mtoto wa form one anajua ni uongo wa kutafuta sifa tu...na hata biashara ya magari hasa mtandaoni huenda hujui inafanyikaje....

Wanaojua watakua wamenielewa
Bro usisemee mifuko ya watu kama wew huna hela ni wew wa Tz wangapi wanamiliki magari ya ma bilion ya hela mbona husemi! Baada ya kuona hapa jf kimya kuna mshkaji kaniunganisha na mfanya biashara wa mafuta wa congo kesho linasafirishwa na tozo zote TRA nimeshamaliza nao!!
 
Kweli kabisa kwanza ata post zake zinahaririwa kabla ya kuwekwa online! Hahahah jamaa alikuwa anatafuta madem tu hana lolote
Unaweza ukawa upo sahihi watu kutumia mali za ndugu zao kwenda kujipatia wanawake ste'l ni ujinga naamini ila bado hujajua mim ni jinsia gani ndiyo tatizo lililopo! Wabongo hadi washuhudie tukio ndiyo waamini ukweli!! Unaweza kuni check pm nikuambie nilipo uje nikupeleke ukashuhudie ndiyo uridhike kabla ya kesho!!
 
Umechambua vizuri sana kaka!

Gari haina cha ziada au special ambacho magari mengine yanaweza kuwa navyo au yasiwe navyo kumbuka hadi kufikia gharama kubwa kama navyo taka kuliuza gari sijaichukua yard au sijaagiza be foward sijatumia wakala yoyote bro! Gari niliiyona kwenye mtandao nikalipenda na nikachukua picha kama sample nikaingia constract na kampuni ya range wanitengenezee kama navyo taka mim wanacho angalia wao ni maslai ya hela tu! Kipi nikiongeze na kipi nisikiweke ndiyo maana unaona gharama imepaa ila sijaweka bei halisi yake hadi kukamilika! Gari kama unavyo iyona hapo juu kila kitu ila ina milango mitano, Inauwezo wa kutembea bila mafuta kutoka Morogoro hadi dar kingine ina bulatt proof haipitishi risas, speed yake ni mara mbili ya range ya kawaida! Ndani ya miaka 7 ikiharibika unatumia speare kwa gharama zao! Bonus niliyopewa ni kusafirishiwa bure hadi bandarini! Ina vitu vingi sana hivyo nivichache!

Mkuu hiyo milango mitano ipi ?,mingine haionekani au ndio ushamba wangu ngoma ina milango unseen ??
 
Back
Top Bottom