Umechambua vizuri sana kaka!
Gari haina cha ziada au special ambacho magari mengine yanaweza kuwa navyo au yasiwe navyo kumbuka hadi kufikia gharama kubwa kama navyo taka kuliuza gari sijaichukua yard au sijaagiza be foward sijatumia wakala yoyote bro! Gari niliiyona kwenye mtandao nikalipenda na nikachukua picha kama sample nikaingia constract na kampuni ya range wanitengenezee kama navyo taka mim wanacho angalia wao ni maslai ya hela tu! Kipi nikiongeze na kipi nisikiweke ndiyo maana unaona gharama imepaa ila sijaweka bei halisi yake hadi kukamilika! Gari kama unavyo iyona hapo juu kila kitu ila ina milango mitano, Inauwezo wa kutembea bila mafuta kutoka Morogoro hadi dar kingine ina bulatt proof haipitishi risas, speed yake ni mara mbili ya range ya kawaida! Ndani ya miaka 7 ikiharibika unatumia speare kwa gharama zao! Bonus niliyopewa ni kusafirishiwa bure hadi bandarini! Ina vitu vingi sana hivyo nivichache!