Range Rover luxurious zaidi duniani lazinduliwa Marekani

Range Rover luxurious zaidi duniani lazinduliwa Marekani

Rolls Royce nao wanatoa SUV Yao nadhani utawala wa Range rover utaisha!!
 
Hivi joka la makengeza kwa bei hii linaweza kuchukua hata nne kwa mpigo, nadhani na Kiongozi mkuu mjamaa ayatollah anaweza kuibuka na mojawapo bila shaka.

Hahahah Cheka sana mkuu, joka la makengeza!!!!,
Hili lizee sijui lilikuwa lina waza nini hadi kujifananisha na nyoka.
 
Duh 411m kununua tu! Kodi around 250m hivi total kama 600m! Insurance @3% ni 18m kwa mwaka! Kila mwaka unatupa ki Mark X na change ya bia kibao!!!
proNDO day dream?

Kwani wewe ni mgeni hapa bongo??

Hiyo unaweza import kama chuma chakavu na ukalipa tsh. 5million only.
Au msamaha wa kodi kwa mwekezaji....

ONYO: ukiipata kwa mazabe hakikisha usimwite mtu "mpuuzi wewee, sijui umekula maharage wewee, unawayawaya wewee, ni nani aliyekurogaaa" maana watakuuliza uliipataje na kama ulilipa kodi zote?
 
Last edited by a moderator:
2723963600000578-3018507-image-a-16_1427739525852.jpg

Mi sinimesema wandei yesii....ila kuota ndoto za namna hii unaweza mpaka godoro likawaka moto usihisi kuungua...maana lazima iwe ndoto haswa...
 
Hahahah ingekua Altezza na Brevis kila mtu anayo, haya humu sasa naona kimya.
 
My mentor,
Harvard alumni,
Ronaldinho wa siasa za Bongo!!

Mzee wa dili za bilioni bilioni!!

Andrew mtemi chenge

Hahaha hapo kwenye Ronaldo umekosea mkuu ungemuweka Midfielder Redondo au Requilme maana jamaa ni kiungo mchezaji kila Dili yupo.
 
Nashangaa watu wanaoifananisha RR na baby walker nyingine kama kilimo kwanza. Performance wise RR is a monster, comfotability never to mention.
Hii gari inanunulika tu, bei yake sio mbaya kabisa. Sema shida itakuja kwenye service na spare parts cause itahitaji kuagiza nje hadi zifike utapita muda.
Ila its worthy dreaming for. Next four years Mungu akisaidia ntakuwa na autobiography yangu.

👆👍👍👍nakuombea kaka
 
proNDO day dream?

Kwani wewe ni mgeni hapa bongo??

Hiyo unaweza import kama chuma chakavu na ukalipa tsh. 5million only.
Au msamaha wa kodi kwa mwekezaji....

ONYO: ukiipata kwa mazabe hakikisha usimwite mtu "mpuuzi wewee, sijui umekula maharage wewee, unawayawaya wewee, ni nani aliyekurogaaa" maana watakuuliza uliipataje na kama ulilipa kodi zote?

Najua kuna misamaha mingo achilia mbali mazabe!
 
Hivi joka la makengeza kwa bei hii linaweza kuchukua hata nne kwa mpigo, nadhani na Kiongozi mkuu mjamaa ayatollah anaweza kuibuka na mojawapo bila shaka.

Ayatollah hana hela ya kununua hii kitu, atafilisika, hata kama kahongwa kiasi gani, Joka la makengeza nakubaliana nawe, mshenzi ana mawe.
 

Hii itakuwa touch.......

Siyo touch umeona kile kirungu chini? ukishabonyesha start engine hicho kirungu cha gia kinapanda juu, nimeona video yake waliiweka kwenye hiyo link. Maana hiyo gari haina funguo.
 
Back
Top Bottom