Abeid Kambi
Member
- Nov 24, 2016
- 67
- 58
Nyie ndio mnakuza mambo jamaa walikuwa wanamfosi aombe msamaha lakini kwenye mahojiano hajaomba msamaha licha ya CHOKO Adam Mchomvu kutaka kumlazimisha msijaribu kulazimisha watu kwenye ujinga.
Hako nako kajinga tuu Clouds hawajamfanyia ubaya wowote ule ...kupewa hela unayo ona ndogo isiwe sababu ya kwenda kuwatukana watu wakati unayo nafasi ya kuikataa au kuikubali au kuongea nao wakuongeze...masikini ruby. .....afanye mpango akamuangukie ruge.
Ungeangalia pande zote mbili maana Ruby alihojiwa kama ungesikia alichozungumza ndio ungejua kama hawa jamaa KILAULI mabwege sana wanataka kila msanii awatetemekee wao that's stupid at all and really unacceptable in the media.Hako nako kajinga tuu Clouds hawajamfanyia ubaya wowote ule ...kupewa hela unayo ona ndogo isiwe sababu ya kwenda kuwatukana watu wakati unayo nafasi ya kuikataa au kuikubali au kuongea nao wakuongeze...
Swala hapa sio kutopiwa nyimbo au kupigiwa nyimbo nincho amini hapa kikubwa ni kutafuta amani na watu kwakuwa hakuna anayejua kesho yake na hiki alichokifanya ndicho tunatakiwa kufanya kwenye maisha yetu maana hakuna kitu kizuri kama kuwa na amni na kujua kuwa huna shida na watu na una amani yani hata ukipumzika kesho unakuwa huna deni.Rama dee atajuta kujishusha akumbuke mapacha walichofanyiwa nyimbo ilipigwa mara moja ikapigwa chini
Sent from my GT-S7562 using JamiiForums mobile app
Sugu dhambi ya usaliti haitomuacha salama....Aliwatia wenzake kwenye ugomvi kwa maslahi yake binafsi
So kwa sasa hivi sio mavirus tenaRama D amesema yy nimfanya biashara kwaio lazma aguse pande zote za media kuserch for market which z truu.
Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
Kikubwa wameyamaliza.jelous sio mzuka kaa tuongee ya maana.Rama d ndo kaomba msamaha au ruge?