Rama dee (kinega) amaliza beef na Ruge

Sugu dhambi ya usaliti haitomuacha salama....Aliwatia wenzake kwenye ugomvi kwa maslahi yake binafsi
Ni ujinga kufuata mkumbo, Sugu alipopewa chake akapiga kimya

Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
 
Kikubwa wameyamaliza.jelous sio mzuka kaa tuongee ya maana.
Sisi sote ni vijana hakuna haja kulumbana.king

Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Credit: Lord Eyez

Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
 
Kikubwa wameyamaliza.jelous sio mzuka kaa tuongee ya maana.
Sisi sote ni vijana hakuna haja kulumbana.king

Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Hahaha sawa mjingamimi ila kama kuna mtu anakula haki yangu jelous inakua ndo mzuka wa mjini
 
Bado wana ukawa hatujamsamehe ukipitia insta yake utakuta maneno ya shombo kwa Lowasa na chedema, akijirekebisha na hilo nitamsamehe
 
Baada ya beef na mvutano wa muda mrefu baina ya Ruge (clouds media) na msanii Rama dee sasa wameamua kuzika tofauti zao

Itakumbukwa Rama dee ni miomgoni mwa wasanii waliokuwa wanaendesha kampeni ya ant virus kuidiss clouds na kujiita vinega yaani wanaharakati, lakini mpaka sasa
yamekwisha, wamesahau yote na muda huu kinega yupo live XXL na b12, mchomvu na wengineo wanareview mziki wa album wake na story zote zilizowahi tokea kipindi iko


Hongera Ruge kwa kukubali kusamehe na kuendelea kusonga mbele licha ya matusi na mabango mengi waliyokumwagia vinega!
Hongera pia kwako Rama dee, umethubutu.


Hii itakua somo kwa wasanii kama akina Ruby, muziki si bifu!
title ilitakiwa iwe"rama dee akubali kuomba msamaha clouds",maana yeye ndo alienda kuomba yaishe na na sio clouds waliomba wao yaaishe au clouds na rama dee waliamua wakae chini yaishe
#bt yeye rama dee ndo kaend kuomba msamaha clouds yaishe!

[HASHTAG]#katika[/HASHTAG] kuweka kumbukumb sawa!
 
title ilitakiwa iwe"rama dee akubali kuomba msamaha clouds",maana yeye ndo alienda kuomba yaishe na na sio clouds waliomba wao yaaishe au clouds n rama dee waliamua wakae chini yasishe
#bt yeye rama dee ndo kaend kuomba msamaha clouds yaishe!

[HASHTAG]#katika[/HASHTAG] kuweka kumbukumb sawa!
uko sahihi mkuu
 
Ati?
Ila Clouds Media kwa kutengeneza watu mbadala hawajambo...
Alivyoondoka Gardener Habash bado nikawa naisikia sauti ya jamaa kwenye matangazo yao hasa ya kuinadi FM ACADEMIA (Ile sauti sijui ya jamaa gani...alitembea mulemule)
Baada ya Ray C kukabwa na unga kooni,Recho na 'Upepo' wake uka-cover nafasi ya mtoto wa Chalamila..
Ruby nae akasusia pilau,kisa halina kachumbari,kutahamaki, kigoli Nandi akalila pilau lote.....
Sijasikia tu mbadala wa Komando Jide...
Shubaaamit!
Alikua lina sanga ila alishindwa

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
Ati?
Ila Clouds Media kwa kutengeneza watu mbadala hawajambo...
Alivyoondoka Gardener Habash bado nikawa naisikia sauti ya jamaa kwenye matangazo yao hasa ya kuinadi FM ACADEMIA (Ile sauti sijui ya jamaa gani...alitembea mulemule)
Baada ya Ray C kukabwa na unga kooni,Recho na 'Upepo' wake uka-cover nafasi ya mtoto wa Chalamila..
Ruby nae akasusia pilau,kisa halina kachumbari,kutahamaki, kigoli Nandi akalila pilau lote.....
Sijasikia tu mbadala wa Komando Jide...
Shubaaamit!
Jideeeeee Tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safi sana kwa hili nampongeza sana Rama dee maana hakuna kitu kizuri kama kutafuta amani na watu huwapo duniani..
Lazima tujifunze kusamehe na kusameheana maana hatutoishi milele...
Rama dee ameonesha ukomakuvu na huu ndio utu uzima na hapa si swala la biashara bali ni swala lakuwa na amani na watu wote..
Nategemea ipo siku Lady Jaydee atahamua kusamehe kama wenzie
Mara nyingine utoto husababisha watu kugombana hata kwa sababu za kijinga.....
Lazima tukubali kila media ina umuhimu wake ni vyema wasanii wakajaribu kutafuta amani

Hongera Rama dee na Ruge
Jide nae walishayamaliza tangu kesi yake na Ruge ilivyoisha na akaruhusu nyimbo zake zipigwe, clouds wao wakasema zitapigwa ila mpaka azilete studio kitu ambacho sidhani Jide atafanya kwenda
 
Back
Top Bottom