Raisi Samia acha kulaumu watu na kutuingiza kwenye matatizo yako binafsi
1. Hatuongiliwi na Kenya ni unyanyasaji, utekaji na kesi zisizo na mshiko kwa wapinzani wako ndizo zimeleta matatizo. Ubinafsi wako ndiyo umetufikisha hapa . Sasa usitake kutuletea matatizo na Kenya kwasababu ya uchungu wako wa madaraka. Tatizo ni wewe sio Watanzania
2. EA community ikifa mikononi mwako ni wewe sio Watanzania. Watanzania wanataka chaguzi huru sasa hilo ni lini limekuwa jinai!!
3. Kukitokea vurugu ni wewe kwanini watu wanatekwa na Polisi na usalama wako hawafanyi lolote. Hizo ripoti unazoombaga za mauaji kwanini huweki wazi je ni nani unamlinda au ni wewe ndiye unawatuma.
Usituingize Watanzania wazalendo kwenye ubinafsi wako na familia yako na kufikiri watanzania wata kutetea kwenye mauaji, uonevu na rushwa. Wazalendo wanapiga picha Mikataba kwasababu ya ufisadi.
Ukipigana na rushwa na kuweka sheria za chaguzi za haki na uhuru haya yote yasinge tokea. Kuteka na kuuwa tangu 2017 wakati wa Magufuli haijasaidia lolote
1. Hatuongiliwi na Kenya ni unyanyasaji, utekaji na kesi zisizo na mshiko kwa wapinzani wako ndizo zimeleta matatizo. Ubinafsi wako ndiyo umetufikisha hapa . Sasa usitake kutuletea matatizo na Kenya kwasababu ya uchungu wako wa madaraka. Tatizo ni wewe sio Watanzania
2. EA community ikifa mikononi mwako ni wewe sio Watanzania. Watanzania wanataka chaguzi huru sasa hilo ni lini limekuwa jinai!!
3. Kukitokea vurugu ni wewe kwanini watu wanatekwa na Polisi na usalama wako hawafanyi lolote. Hizo ripoti unazoombaga za mauaji kwanini huweki wazi je ni nani unamlinda au ni wewe ndiye unawatuma.
Usituingize Watanzania wazalendo kwenye ubinafsi wako na familia yako na kufikiri watanzania wata kutetea kwenye mauaji, uonevu na rushwa. Wazalendo wanapiga picha Mikataba kwasababu ya ufisadi.
Ukipigana na rushwa na kuweka sheria za chaguzi za haki na uhuru haya yote yasinge tokea. Kuteka na kuuwa tangu 2017 wakati wa Magufuli haijasaidia lolote