Raisi awaidhinisha wahindi kama kabila la 44 nchini Kenya

Natumia Kichina kuwasiliana
Dah! Kiswahili chako huwa kibovu sana jamaa, kama Nyerere aliwaunganisha kwa kutumia Kiswahili, basi wewe alikusahau. Hivi wewe huwa unawasiliana kivipi, maana hujui Kingereza, halafu wengi wenu hamjui kuongea lugha zenu za asili, ilhali Kiswahili chenyewe unaandika majanga hadi unatia kichefuchefu.
 
Kwanza inafaa ikuingie kwamba nchi zetu hizi hazikua na watu tangia mwanzo, mababu zetu walihamia tu, labda huwa hampewi hiyo elimu shuleni, ni kwamba hayo makabila ya Tanzania yalihamia kutoka kwa mataifa mengine, Wanyamwezi waliingia Tanzania kwenye karne ya 17, huo ni mfano mmoja tu na kila kabila lina historia yake.

Hivyo sisi tulichokifanya kwa Wamakonde na hawa Wahindi ni kuidhinisha uwepo wa jamii zao na kuzitambua kikatiba kama jamii za Kenya.
Safi sana,wape elimu hawa mamburula! Lakini si nilidhani wakikuyu tulitoka kule kwa wayahudi? Dah,lakini ni sawa tu aisee!:(
 
Sijaona point humu. Go and join your friend
IMG_20170714_000445.jpg
Kwanza inafaa ikuingie kwamba nchi zetu hizi hazikua na watu tangia mwanzo, mababu zetu walihamia tu, labda huwa hampewi hiyo elimu shuleni, ni kwamba hayo makabila ya Tanzania yalihamia kutoka kwa mataifa mengine, Wanyamwezi waliingia Tanzania kwenye karne ya 17, huo ni mfano mmoja tu na kila kabila lina historia yake.

Hivyo sisi tulichokifanya kwa Wamakonde na hawa Wahindi ni kuidhinisha uwepo wa jamii zao na kuzitambua kikatiba kama jamii za Kenya. Wao walikuja tu kama jinsi jamii zingine zilivyokuja. Kwa mfano jamii yangu ya Wakikuyu walitokea kule Kongo, wakapitia hapo Tanzania na kuishi Kilimanjaro kwa zaidi ya miaka 1,000 ndio hatimaye wakahamia huku Kenya. Hivyo itakua unafiki kutotambua jamii zingine ambazo zilihamia huku kihivyo kabla Kenya haijawa taifa huru.

Nyie hapo mnajiita Watanzania leo, lakini hiyo ni baada ya mzungu kuja na kuchora chora mipaka baina ya Waafrika na kuanzia hapo akawaambia mjiite Watanzania au mwanzo Watanganyika, na sisi akatuambia tujiite Wakenya. Huko kwenu kuna jamii zaidi ya 120 zinazotambuliwa na katiba yenu, hivyo wacha kubwatuka maana hamna utofauti wowote na Waafrika wengine.
Tatizo ni kwamba nyie mumetelekeza tamaduni na asili zenu kiasi cha kuwa kama watumwa wasiojua historia au asili yao. Utakuata asilimia kubwa ya Watanzania hawajui hata kuamkuana kilugha, utumwa kabisa huo.
 
Kwanza inafaa ikuingie kwamba nchi zetu hizi hazikua na watu tangia mwanzo, mababu zetu walihamia tu, labda huwa hampewi hiyo elimu shuleni, ni kwamba hayo makabila ya Tanzania yalihamia kutoka kwa mataifa mengine, Wanyamwezi waliingia Tanzania kwenye karne ya 17, huo ni mfano mmoja tu na kila kabila lina historia yake.

Hivyo sisi tulichokifanya kwa Wamakonde na hawa Wahindi ni kuidhinisha uwepo wa jamii zao na kuzitambua kikatiba kama jamii za Kenya. Wao walikuja tu kama jinsi jamii zingine zilivyokuja. Kwa mfano jamii yangu ya Wakikuyu walitokea kule Kongo, wakapitia hapo Tanzania na kuishi Kilimanjaro kwa zaidi ya miaka 1,000 ndio hatimaye wakahamia huku Kenya. Hivyo itakua unafiki kutotambua jamii zingine ambazo zilihamia huku kihivyo kabla Kenya haijawa taifa huru.

Nyie hapo mnajiita Watanzania leo, lakini hiyo ni baada ya mzungu kuja na kuchora chora mipaka baina ya Waafrika na kuanzia hapo akawaambia mjiite Watanzania au mwanzo Watanganyika, na sisi akatuambia tujiite Wakenya. Huko kwenu kuna jamii zaidi ya 120 zinazotambuliwa na katiba yenu, hivyo wacha kubwatuka maana hamna utofauti wowote na Waafrika wengine.
Tatizo ni kwamba nyie mumetelekeza tamaduni na asili zenu kiasi cha kuwa kama watumwa wasiojua historia au asili yao. Utakuata asilimia kubwa ya Watanzania hawajui hata kuamkuana kilugha, utumwa kabisa huo.
Mkuu umeandika saaana, point ni hii Katiba ya Tanzania haitambui huo upumbavu wa ukabila, sisi ni taifa linalotambua raia wake kwa misingi yake na sheria zake bila kujali ni mnyamwezi, msukuma, mjaluo, mmakonde, mchina, mhindi, etc.

Tuna mtanzania wa kuzaliwa na kuomba! Hayo mambo ya makabila kila mtu anayatumia kivyake vyake huko, sio issue ya taifa, serikali yetu deals with her whole entire citizens na si kwa makundi makundi.
 
Kenya bado mkono kwa Divide and Rule kind of policy. Hilo halikwepeki.
 
Afu sisi Watanzania tusiingilie mambo ya Wakenya, wameamua wenyewe kuongeza na sisi kama tunaona inafaa tuwaongeze wawe kabila jingine Tanzania.

Tuwaache Wakenya na mambo yao
 
Wapi duniani umewahi sikia Indian tribe. Hata India hakuna hiyo tribe. Only in Kenya. In India they are citizens of India. Acha niongee kihindi kidogo""tochenai Uhuru dalulyai nai"" Wahindi mtakuwa Mme nielewa.
 
Tanzania hatuna huo ujinga.Sisi niwamoja.
Afu sisi Watanzania tusiingilie mambo ya Wakenya, wameamua wenyewe kuongeza na sisi kama tunaona inafaa tuwaongeze wawe kabila jingine Tanzania.

Tuwaache Wakenya na mambo yao
 
Si kweli.

Nyerere hakukuta watu ambao hawajaungana,

Kiswahili alikikuta kinaongewa tayari hata kwao.

Msitake kuleta historia ambayo haikuwepo.
Watu kama hao ndio wanaoendeleza uongo kumhusu Nyerere. Sifa anazopewa Nyerere nyingi ni za uongo kwa sababu kipindi cha utawala wake hakukuwa na demokrasia ya watu kuwa na mawazo tofauti na yake kwa hiyo hata vyombo vya habari viliandika yanayomsifu.
 
Wapi duniani umewahi sikia Indian tribe. Hata India hakuna hiyo tribe. Only in Kenya. In India they are citizens of India. Acha niongee kihindi kidogo""tochenai Uhuru dalulyai nai"" Wahindi mtakuwa Mme nielewa.
Hehe unajiambia unajua kihindi baada ya kutizama 'kuch kuch hota hai'? Unajua India kuna wagujerati,kashmiri na makabila mengine tofauti?
 
Kwanza inafaa ikuingie kwamba nchi zetu hizi hazikua na watu tangia mwanzo, mababu zetu walihamia tu, labda huwa hampewi hiyo elimu shuleni, ni kwamba hayo makabila ya Tanzania yalihamia kutoka kwa mataifa mengine, Wanyamwezi waliingia Tanzania kwenye karne ya 17, huo ni mfano mmoja tu na kila kabila lina historia yake.

Hivyo sisi tulichokifanya kwa Wamakonde na hawa Wahindi ni kuidhinisha uwepo wa jamii zao na kuzitambua kikatiba kama jamii za Kenya. Wao walikuja tu kama jinsi jamii zingine zilivyokuja. Kwa mfano jamii yangu ya Wakikuyu walitokea kule Kongo, wakapitia hapo Tanzania na kuishi Kilimanjaro kwa zaidi ya miaka 1,000 ndio hatimaye wakahamia huku Kenya. Hivyo itakua unafiki kutotambua jamii zingine ambazo zilihamia huku kihivyo kabla Kenya haijawa taifa huru.

Nyie hapo mnajiita Watanzania leo, lakini hiyo ni baada ya mzungu kuja na kuchora chora mipaka baina ya Waafrika na kuanzia hapo akawaambia mjiite Watanzania au mwanzo Watanganyika, na sisi akatuambia tujiite Wakenya. Huko kwenu kuna jamii zaidi ya 120 zinazotambuliwa na katiba yenu, hivyo wacha kubwatuka maana hamna utofauti wowote na Waafrika wengine.
Tatizo ni kwamba nyie mumetelekeza tamaduni na asili zenu kiasi cha kuwa kama watumwa wasiojua historia au asili yao. Utakuata asilimia kubwa ya Watanzania hawajui hata kuamkuana kilugha, utumwa kabisa huo.
kwerwo atya mùthuuri nímakùigua kabisa...
 
Ate aramaera twaumire congo,nie juwe twe ciana cia jakufu twaikaraga ta ciana cia nyina umwe na aisiraeli tukimaiera mono ginya makiuga mene mene....!:D
safi...twí hamwe mûno...ona gùkù maikara wana nokumaiga taoni mani..
 
Back
Top Bottom