Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
Tumesikia muheshimiwa raisi JK yuko Africa ya kusini kwa ziara ya kitaifa na pia ameshakutana na wafanyabiashara wa South Africa na kuwashawishi kuja nchini Tanzania na kuja kuwekeza kwenye nyanja mbalimbali zikiwemo nyanja za kilimo na biashara nyingine! Je muheshimiwa raisi wa Tanzania ana habari kweli na swala hili ambalo ni janga la kitaifa kuhusiana na makali ya giza na wala sio mgao kuhusiana na umeme nchini kwake? je wakezaji hawa wanakuja kuwekeza kupitia nyanja ipi na hakuna umeme nchini? naomba kuwasilisha kama muhesimiwa raisi analijua hili.