Naunga mkono hoja.Tanzania kuna mihimili mitatu inayojitegemea na isiyoingiliana ambayo ni bunge na serikali na mahakama
Raisi akiulizwa chochote kilicho mahakamani akatae kujibu kuwa siwezi jibu swala lililoko mikononi mwa mihimili wa mahakama. hana haja Hata ya ku comment chochote aseme tu no comment Hilo liko mahakamani
Unahakika haiingiliani🤔?vinginevyo Anza kwa ufafanuzi ni kwa jinsi Gani haiingiliani.Tanzania kuna mihimili mitatu inayojitegemea na isiyoingiliana ambayo ni bunge na serikali na mahakama
Raisi akiulizwa chochote kilicho mahakamani akatae kujibu kuwa siwezi jibu swala lililoko mikononi mwa mihimili wa mahakama. hana haja Hata ya ku comment chochote aseme tu no comment Hilo liko mahakamani
Sawa, ilimradi tumekuwa Taifa la michongo hata hii comment ni ya mchongo.Naunga mkono hoja.
P
Kwa weledi wakitanzania inafanya kazi🏃.Katiba ya Tanzania imeeleza kila kitu kaisome
Katiba ambayo haikatazi vyama vya siasa kufanya mikutano lakini rais anao uwezo wa kukataza na asiulizwe? Au katiba ipi?Katiba ya Tanzania imeeleza kila kitu kaisome
Ni ushauri mzuri,bila shaka washauri wake watamsihi.Tanzania kuna mihimili mitatu inayojitegemea na isiyoingiliana ambayo ni bunge na serikali na mahakama
Raisi akiulizwa chochote kilicho mahakamani akatae kujibu kuwa siwezi jibu swala lililoko mikononi mwa mhimili wa mahakama. hana haja Hata ya ku comment chochote aseme tu no comment Hilo liko mahakamani
Maswali kama hayo ndio kipimo cha kiti cha Rais, cheo cha Rais kinahitaji mtu mwenye brain proven brain , uelewa mpana wa mambo mengi hata nje ya fani yake. Kupanga ni kuchagua na kuchagua ni kuamua na kuamua ni matokeo ya kufikiri na kufikiri kunahuisha uhai wa akili.Tanzania kuna mihimili mitatu inayojitegemea na isiyoingiliana ambayo ni bunge na serikali na mahakama
Raisi akiulizwa chochote kilicho mahakamani akatae kujibu kuwa siwezi jibu swala lililoko mikononi mwa mihimili wa mahakama. hana haja Hata ya ku comment chochote aseme tu no comment Hilo liko mahakamani
Vyama vya siasa hufanya mikutano sasa hivi Chadema digital inafanya mikutano nchi nzima kusajili Wana chama na ripoti wanaleta kila wakati humu jamiiforums forums kuwa wako wapiKatiba ambayo haikatazi vyama vya siasa kufanya mikutano lakini rais anao uwezo wa kukataza na asiulizwe? Au katiba ipi?
Alaaa! Mnaona anajivua nguo!!!Naunga mkono hoja.
P
Kweli kabisa.Maswali kama hayo ndio kipimo cha kiti cha Rais, cheo cha Rais kinahitaji mtu mwenye brain proven brain , uelewa mpana wa mambo mengi hata nje ya fani yake. Kupanga ni kuchagua na kuchagua ni kuamua na kuamua ni matokeo ya kufikiri na kufikiri kunahuisha uhai wa akili.
Na ndio Maana Zito Kabwe alimuuliza lile swali kupima uwezo wake kwa makusudi kabisa wakati Zitto anajua kesi iko mahakamani akamtegeshea Kwa makusudi na Raisi akaingia kichwa kichwaMaswali kama hayo ndio kipimo cha kiti cha Rais, cheo cha Rais kinahitaji mtu mwenye brain proven brain , uelewa mpana wa mambo mengi hata nje ya fani yake. Kupanga ni kuchagua na kuchagua ni kuamua na kuamua ni matokeo ya kufikiri na kufikiri kunahuisha uhai wa akili.
Tanzania kuna mihimili mitatu inayojitegemea na isiyoingiliana ambayo ni bunge na serikali na mahakama
Raisi akiulizwa chochote kilicho mahakamani akatae kujibu kuwa siwezi jibu swala lililoko mikononi mwa mhimili wa mahakama. hana haja Hata ya ku comment chochote aseme tu no comment Hilo liko mahakamani
Umeambiwa haingiliani kivipi wakati mkuu wa serikali ndiye anayeteua majaji?Katiba ya Tanzania imeeleza kila kitu kaisome
Hongera kwa comment bora mno. Akili kubwa hii. Naikopi kwa matumizi yangu japo nitaedit kidogo.Maswali kama hayo ndio kipimo cha kiti cha Rais, cheo cha Rais kinahitaji mtu mwenye brain proven brain , uelewa mpana wa mambo mengi hata nje ya fani yake. Kupanga ni kuchagua na kuchagua ni kuamua na kuamua ni matokeo ya kufikiri na kufikiri kunahuisha uhai wa akili.
Jiwe alisemaga Kuna mhimili uliojichimbia chini zaidi kuliko mwingine eti kiss mhimili ambao yeye alikua ni mkuu ndio ulikua anatoa pesa kwa Ile mihimili mingineAsilimia 90 ya viongozi waliopo katika mhimili wa mahakama wameteuliwa na raisi sasa kwanini asiingilie? Hakuna mhimili unaojitegemea hapo
Katiba mpya
Lile swali lako la kikatiba kwa Magufuli, jibu lake hapa linafiti kabisa....Naunga mkono hoja.
P
Kuna kitu kimesemwa pia kuhusu Heshima, umesahau au umejisahaulisha Mkuu!Na ndio Maana Zito Kabwe alimuuliza lile swali kupima uwezo wake kwa makusudi kabisa wakati Zitto anajua kesi iko mahakamani akamtegeshea Kwa makusudi na Raisi akaingia kichwa kichwa
Anyway washauri wa Raisi kazi wanayo