Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 14,840
- 31,583
Hello JF,
SIjui kama nyie mme observe kama mimi?
Mama yetu ana movements nyingi mno.
Sijui kasafiri na kuona watu/vikundi vingapi ndani ya hii miezi mitatu ya Urais
Mama you cant do everything and be everywhere.
I feel like you want to prove a point, kuwa ni Rais wa tofauti na watu wakuone mchapakazi.
I totally understand.
BUT,
Reputation unayotaka kujenga, itakuchosha physically and exhaust you mentally.
Watanzania sisi ni walewale tusio na shukrani.
Chukua moja simama nalo, ukishaona tangible result nenda lingine.
Watu wanataka kuona consistency
Natanguliza samahani kama nitakua nimekukwaza.
Becky
SIjui kama nyie mme observe kama mimi?
Mama yetu ana movements nyingi mno.
Sijui kasafiri na kuona watu/vikundi vingapi ndani ya hii miezi mitatu ya Urais
Mama you cant do everything and be everywhere.
I feel like you want to prove a point, kuwa ni Rais wa tofauti na watu wakuone mchapakazi.
I totally understand.
BUT,
Reputation unayotaka kujenga, itakuchosha physically and exhaust you mentally.
Watanzania sisi ni walewale tusio na shukrani.
Chukua moja simama nalo, ukishaona tangible result nenda lingine.
Watu wanataka kuona consistency
Natanguliza samahani kama nitakua nimekukwaza.
Becky