Habarini wana jamvi. Juzi hapa tulimsikia rais akiwa-mind wakandarasi kwa kuchelewesha mradi wa stendi mpya ya kisasa pale mbezi jambo ambalo hakulitegemea tena mbele ya mgeni wake, Rais wa Malawi.
Sasa ni bora tumwambie kuhusu hili la SGR, maana tuliambiwa mwezi Novemba mwaka jana ingekuwa imeanza kazi kipande cha Dar-Moro, sasa ni karibia mwaka mzima umepita hatujasikia matangazo ya wapi tiketi zinakatwa. Haya mambo yanachelewesha maendeleo na kuleta ma-variation ambayo hayana mashiko.
Tafadhali sana Mh, najua kwa sasa mambo ya kampeni yamekubana sana, ukifanikiwa kurudi kazi yetu itakuwa ni kukumulikia tu maeneo ambayo watu wamelala usingizi wa pono.
Sasa ni bora tumwambie kuhusu hili la SGR, maana tuliambiwa mwezi Novemba mwaka jana ingekuwa imeanza kazi kipande cha Dar-Moro, sasa ni karibia mwaka mzima umepita hatujasikia matangazo ya wapi tiketi zinakatwa. Haya mambo yanachelewesha maendeleo na kuleta ma-variation ambayo hayana mashiko.
Tafadhali sana Mh, najua kwa sasa mambo ya kampeni yamekubana sana, ukifanikiwa kurudi kazi yetu itakuwa ni kukumulikia tu maeneo ambayo watu wamelala usingizi wa pono.