MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
"Nichukue nafasi hii Kuipongeza Klabu ya Yanga kwa kufika Fainali ya Kombe la Shirikisho ambayo hata Klabu ya Simba pia ilifika mwaka 1993" alisema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan jana Ikulu alipowaalika wapenda Kula Kula hovyo ( Walafi FC ) Klabu ya Yanga.
Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said, Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe na wana Yanga msiojitambua zile Kauli zenu kuwa mwaka 1993 Simba SC haikucheza Fainali ya Kombe la Shirikisho ( zamani Kombe la Washindi Barani Afrika ) mlizitoa wapi wakati Rais Samia Yeye kajua na kasema huku nyie mkipinga?
MINOCYCLINE "Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person" nami nawaulizeni Watajwa hapa hivi kuna Mtu Tanzania hii mwenye Taarifa za uhakika kama Rais wa nchi?
Nyie Taarifa kuwa Simba SC haikucheza Fainali ya Kombe la Shirikisho ( zamani Kombe la Washindi Barani Afrika ) mliitoa wapi mpaka mkawa Mnashadadika vile kwa Kuhemka na Kudemka?
Cc: Dr Matola PhD
Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said, Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe na wana Yanga msiojitambua zile Kauli zenu kuwa mwaka 1993 Simba SC haikucheza Fainali ya Kombe la Shirikisho ( zamani Kombe la Washindi Barani Afrika ) mlizitoa wapi wakati Rais Samia Yeye kajua na kasema huku nyie mkipinga?
MINOCYCLINE "Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person" nami nawaulizeni Watajwa hapa hivi kuna Mtu Tanzania hii mwenye Taarifa za uhakika kama Rais wa nchi?
Nyie Taarifa kuwa Simba SC haikucheza Fainali ya Kombe la Shirikisho ( zamani Kombe la Washindi Barani Afrika ) mliitoa wapi mpaka mkawa Mnashadadika vile kwa Kuhemka na Kudemka?
Cc: Dr Matola PhD