President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 34,095
- 93,513
Wayahudi walimuua Yesu. Wakristo hatuwapendi
Jamaa ni outdated sana. Anaweza kuja na post nyingine na kusema " Nimegundua JPM kafariki mwaka Jana"Yaani wew ndo umejua leo, uko nyuma sana
Wewe kerubi mbona una kasi sana umeshindwa kutukuza babu zako unatukuza babu wa wengine.Muanzilishi wa Whatsapp Jan Koum pia ni myahudi wa Ukraine aliyehamia Marekani akiwa mdogo.
Ukija huku Google unakutana na myahudi mwengine Sergei Brim aliyehamia Marekani kutoka Urusi.
Ukija tena Facebook myahudi mwengine Mark Zugerberg.
Ukija Uber ni myahudi mwengine tena.
Ukiha Coca cola na Pepsi ni wayahudi waanzilishi.
Yani mibaraka imesambaaa na kuzagaa kila kona.
If you bless them you will be blessed if you curse them you will be cursed
[emoji23][emoji23]Mfalme zumaridi nae ni myahudi wa ngudu kwimba.
Ulikuwa hujuwi? Habari ndio hiyo... Ndio maana unaona dunia ipo ktk kiza kinene.. Israel wamewakalia kooni UK, German na USA akijuwa wana deni lakumlipa.. huyo Rais wa Ukrain hujiulizi amepata wapi ujasiri? Nakwanini yupo tayari kufa kwa ajili ya Ukrain? Najana amewaambia Ukrain ikianguka wajiandae Eu kuanguka na dunia? Hujiulizi anapata wapi ujasiri?Inapendeza sana kutambua na kujua Rais Hodari (Brave heart) ana damu ya uteule inayosambaa kwenye Mishipa yake.
Ndo maana ana vinasaba kama vya mfalme Daudi.
Baada ya kutambua Volodymyr Oleksandrovych Zelenskyy Rais wa Ukraine ni myahudi nimezidisha kumuunga mkono pamoja na taifa lake mibaraka isinipite kizembe hivihivi .
Mungu wa kweli ailinde na kuibariki Ukraine.
Janjaweed Da'Vinci
Badala wamwabudu Mungu wanaabudu Watu, TZ tuko vichaa wengi sana[emoji3526]Wayahudi walichowafanya mpaka mnawaabudu hivi sijawahi kuelewa.
Hii dunia ina ajabu kweli
Tena Wengi haswaaWajinga ni wengi sana
Chanzo cha habari cha hao wabaguzi wa rangi nyeusi tafadhali [emoji87]Ulikuwa hujuwi? Habari ndio hiyo... Ndio maana unaona dunia ipo ktk kiza kinene.. Israel wamewakalia kooni UK, German na USA akijuwa wana deni lakumlipa.. huyo Rais wa Ukrain hujiulizi amepata wapi ujasiri? Nakwanini yupo tayari kufa kwa ajili ya Ukrain? Najana amewaambia Ukrain ikianguka wajiandae Eu kuanguka na dunia? Hujiulizi anapata wapi ujasiri?
Nimecheka kifalaaaMfalme zumaridi nae ni myahudi wa ngudu kwimba.
Jamani...Mbowe anavinasaba vya uyahudi mama akaona hapa ntatengwa na dunia kwa kesi ya mchongo.
Makerubi wa zumaridi si wanaweza mchapa putin kwa kutumia miujiza kutoka mbinguni?Mfalme zumaridi nae ni myahudi wa ngudu kwimba.
Mwenye nguvu mpishe..hakuna anayewaabudu ili tuna appreciate makubwa waliyofanya duniani.Wayahudi walichowafanya mpaka mnawaabudu hivi sijawahi kuelewa.
Hii dunia ina ajabu kweli
Yaani waafrica tumeshikwa masikio na akili zetu ukiangalia ukweli wale waizilael ambao wanafaamika kama wayaudi a.k. a Wana wa izlael wote ni watu kutoka Russia walikuja miaka hiyo wakiwa ni wafanyabiashara wakakutana na dili ya Bible . Kwa maana hiyo ili kuweza kujimilikisha pale ndio wakajiita wana wa Islael kitu ambacho siyo ukweli.